Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Weka taarifa sawa, jana nimefuatilia tukio hilo, na ni wadau wa maendeleo kwa umoja wao ndio watakaojenga uwanja huo wa kisasa, ambao pamoja na vingi utakuwa na viwanja vitatu vya mpira, jengo la mazoezi, viwanja vya mpira wapete, mkono, mabwawa ya kuogelea etcMkurugenzi Mkuu wa Mamlaka za Bandari Tanzania Bara (TPA) ameahidi kujenga uwanja mkubwa na wa kisasa wa michezo katika eneo la Kizimkazi, Zanzibar.
Mkurugenzi Mkuu wa TPA ameyasema hayo leo katika kilele cha Tamasha la Kizimkazi huku mgeni rasmi akiwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.
Hakika maendeleo hayana mahali.
Na wadau hao ni benki zaidi ya tano nmb, crdb,azania,nbc,Equity na mashirika kama Tanroads, Tanesco, TPA huku wakiahidi kuwa wadau wengine wataungana nao baadae
Ukisema TPA peke yake unamislead watu for no reason!, Anaehitaji taarifa zaidi na uwanja ulivyo afuatilie streaming ya live ya jana ya Ikulu kule Youtube, imeelezea kwa kina na ilisomwa na Nsekela wa CRDB mbele ya Rais Samia