TPDF ranks position 27 in the World!

wakenya bwana
mnafikiri jeshi ni riadha, wakati mwingine tuache ushabiki kdf waoga kishenzi, is better to learn to ur big bro..tpdf
 
Nimeona hapa wenzangu wakitaka picha za wanajeshi wa kenya! Lakini mwanzo moja ya mambo ntasema ni kwamba, jeshi la Kenya limepiga hatua, sana. Bundiki kama ya SCUR inapatikana na jeshi la kenya pekee Africa nzima. Tazama picha hizi hapa.

Baada ya mazoezi na wanajeshi wa USA na UK.

Kwenye mazoezi

Recce squad ndo hao

Hiyo bundiki aliyoishika ndo huitwa SCUR riffle, hutumiwa na wanajeshi wa nchi zilizo piga hatua kama vile Urusi(russia) Marekani na Uingereza
 
Wew
e try to think beyond your noise sio kila jeshi linafanya promo za vifaa vyake vyote na sio kila kitu kuhusu majeshi unaweza kufahamu, don't be kilaza owkey..!
However Tpdf is the best in Africa, if you ask me why, it's because of their achievement in different military operations than any other country in Africa and higher secret of their deadly equipment..!
 
Lakini kaka mmoja hapa amesema eti TPDF imefanya mission nyingi successful, hebu tuonyesha proof. Sisi Kenya hapa moja ya Somalia.
 
Ulinganisho was TPDF na jeshi la Kenya
Mkuu usiamini social network when come to military issues it's very secret, mnadhimu mkuu wa jeshi hajakurupuka kusema Tpdf ni ya 27 duniani, these issues known only to ones deals in field battles, so is better to believe which your commanders talk and not youtobe or whatever.
 
Exactly
 






We Mk*****du! Galil MAR (Micro Assault Rifle / Micro-Galil) Compact Assault Rifle / Carbine

Can you tell us about Galil MAR (Micro Assault Rifle / Micro-Galil) Compact Assault Rifle / Carbin?

Nyie wakenya mnaongea sana.
 
Lakini kaka mmoja hapa amesema eti TPDF imefanya mission nyingi successful, hebu tuonyesha proof. Sisi Kenya hapa moja ya Somalia.

The level of ignorance displayed by most Kenyans is way too disgusting!

Why are you asking TPDF successful missions while you so many evidences around you? are you blind? How Idd Amin's regime ended? would you tell us how Mozambique, Angola, Namibia, Zimbabwe, South Africa managed to have today the rule of the majority?
 




We Mk*****du! Galil MAR (Micro Assault Rifle / Micro-Galil) Compact Assault Rifle / Carbine

Can you tell us about Galil MAR (Micro Assault Rifle / Micro-Galil) Compact Assault Rifle / Carbin?

Nyie wakenya mnaongea sana.
We mk**du mwenyewe na ukoo wenu, umeelewa nilichoandika au umekulupuka..!
 




We Mk*****du! Galil MAR (Micro Assault Rifle / Micro-Galil) Compact Assault Rifle / Carbine

Can you tell us about Galil MAR (Micro Assault Rifle / Micro-Galil) Compact Assault Rifle / Carbin?

Nyie wakenya mnaongea sana.
Hizi bunduki za TPDF nazo mbona hazitishi hata kidogo. Zinafanana na Toys za watoto wadogo.
 




We Mk*****du! Galil MAR (Micro Assault Rifle / Micro-Galil) Compact Assault Rifle / Carbine

Can you tell us about Galil MAR (Micro Assault Rifle / Micro-Galil) Compact Assault Rifle / Carbin?

Nyie wakenya mnaongea sana.


Hahahahaha!!! Kakangu isinichekeshe, yaani hivi WanaTPDF bado ndio hawa wanatumia UZI bunduki ambazo hasa hutumiwa na vikosi vidogovidogo vya waasi?????? Doh!! Kheri KDF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…