The largest army in terms of numbers ni Tanzania. Coz za kawaida ndani ya JWTZ ni miaja hiyo tembelea monduli ukaone.
Alipigani tu na isr
Eeeh! Mwamunyange alikua JKT? Dah! Yaani nina miaka mingi sana sijapata kukaa karibu na wajinga. Hivi wajua nini ni JKT? Na pia humjui Mwamunyange. Eti Generals hawapigani vita? We unakichaa? Gen James Aloyce Mwakibolwa juzi tu katoka vitani na kushinda vita na kupandishwa kua Mej Gen. Generals wanaenda vitani, na wanakua frontline if necessary. Wao ndio watoa muongozo na maplanners mpuuzi wewe. kuanzia cheo cha Mej Gen ni kiongozi wa brigades, ambazo huitwa Division, Brig Gen ni kiongozi wa brigade, Col ni kiongozi wa battalion lieutenant ni kiongozi wa platoon, na lieutenant ni lazima awe kijana si juu ya miaka 35. Wewe ni mjinga kupindukia pia hujui chochote, mbulula