TPL: kutoka uwanja wa Taifa Yanga SC vs Mwadui FC

Mazingira ya kuweka viporo mliyatengeneza wenyewe mbumbumbu eti mnalipiza kisasi, sasa hivi ndo mnaona madhara yake. Hapo bado viporo kuwachachia maana umeme wa mgao
 
Mkuu sisi tuna roho ya paka, mpaka dakika ya mwisho hatuwezi kuwashangilia watani wetu wa jadi hiyo never

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…