TPL: kutoka uwanja wa Taifa Yanga SC vs Mwadui FC

Si unajua akili za kipumbavu na njama za Mikia watakuwa walimuhonga hela ili asirudi wakidhani Yanga haitashinda,sasa leo tunawatumia salamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimuelewa sana Zahera kwenye ile Interview jana hasa aliposema kuna kipindi alikosekana Yondani, akakosekana Beno ila bado tulifanya vizuri na kukosekana kwa Makambo sio tatizo. Na ndio kilichoonekana jana.
 
Kuna kipindi Manara na Simba walilalamika sana kuwa TFF inaubeba Yanga kwa kuipa viporo vingi. Inakuwaje safari hii Simba wamepewa viporo wanaanza kulalamika tena!
 
Mkuu waaambiiiiie hao.
 
Mmmh. Nishajua we ni timu gani sasa.

Tunakubali kikosi chenu ni bora ila nadhani unazijua mechi za Simba na Yanga ambavyo huwa, na mfano hai ni mechi ile ya round ya kwanza.
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ mlijua mnatutanguliza tuharibu kumbe wenzenu tunashine tu. Haya pasheni hivyo viporo 5 tuone.
 
Hee yamekuwa hayo tena wazee wa kikosi kilichopanuliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…