TPL: Simba SC vs Stand United - October, 21.

W'Alekum Salaam Mtani

Mambo Tu Yanaenda Kombo Na Hii Kasi Ya Maisha Muda mwengine Unapotea Bila Kujijua Kma Umepotea.

Nipo Mtani Kitaani Tuh Uko Kwa Mchina Sijajaaliwa.

Naona Mwaka Wenu Huu Lakini Sikubaliani Na Ilo Mtani Muda Bado, Ngoja Tuone
Na kweli usenayo Mtani tuzidi kupambana nayo tu na nafasi ikipatikana tujumuike kama hivi tu refresh akili.

Hahahaaa. Mwaka wetu huu ila kama usemavyo tusubiri tuone Mtanim
 
Ok sawa sawa mkuu tusikimbiane tu kwa Leo wambie na machizi wenziyo Wa simba wasing'oe viti pale wapiga debe watakapo Fanya yao cc@hajar
Nawatakia kila la kheri katika mechi yenu ya leo. Stand ni timu nzuri ila uwezo wa kuwazuia ni mdogo sana.

Kuweni makini sana Msiwe na overconfidence kisa Mwekezaji karudi hao mnaocheza nao hawatabiriki. Hii inaweza kuwa tricky game kwenu
Hajar njoo ushuhudie draw nyingingine huku
[emoji2] [emoji2] Wewe Manara kwa Tambo haujambo
Kila la heri Stand United tupo pamoja nanyi
Mkijitahidi sana itakuwa droo tu.
Mkijitahidi leo ni sare tasa.
Wakuu zangu nawatakia usiku mwema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…