TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

Ulitaka Kakolanya asiwe anadaka mipira hivi unajua kazi ya golikipa?
 
Nilikua namuamlaumu Rage kumbe alikuwa sahihi kuwaita mbumbumbu
Achana na mimi mpuuzi usiojielewa wewe.

Mbona nyie Vyura Katibu mkuu wa Cecafa Nicholas Mosonye aliwaaita Wapumbavu, pia mna vichwa vya Ndezi katika michuano ya Kagame kabla ya hii ya mwaka huu.

Au ulikuwa hujaja mjini..!
 
MLICHOKOSEA N. KUSHIRIKISHA VIONGOZI WA SIMBA NA YANGA GAMR MOJA MTALIATI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…