TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

Wenzetu Simba madevu kasemaje?
 
Kucho tunae bado wachezaji watakao weza kufata haya maelekezo haya.
Wachezaji wetu kama wataweza kufanya haya basi Yanga haita shikika.
Pia wachezaji wachukue hii kama changamoto in positive way
 
Acha dharau, hatujui historia kwani tumekuja leo hapa duniani?

Kipindi tumewafunga 5-0 mbona mlikuwa wabovu lakini tuliwafunga hivyo hivyo.
Shukuruni hata Kwa hicho kidogo,nyie hamjui Historia ya Simba na Yanga.Timu moja hata iwe mbovu kiasi gani lakini ikifika Derby ubovu wa Timu moja Huwa hauipi guarantee Timu pinzani kushinda
 
Acha dharau, hatujui historia kwani tumekuja leo hapa duniani?

Kipindi tumewafunga 5-0 mbona mlikuwa wabovu lakini tuliwafunga hivyo hivyo.
Sio Kila siku Jumamosi mlienda uwanjani na matokeo kilichotokea hamuamini mpaka mumeanza kuamini ushirikina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…