laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
Kucheza faulo ni moja ya technique!.... Yanga mbinu zao zimefanikiwa na sasa hivi wanajiandaa kubeba ubingwa...!.. Hakuna wa kuwafikia tena njia ya ubingwa ni nyeupeee... Simba hawana mbinu za ushindi wanacheza bila malengoTechnique ya kupaki treni na kucheza faulo 27 imefanikiwa kweli kweli
Jamaa anadai anakutaka wewe mwenyewe, vipi upo tayari??Naomba sana wewe kipa wetu beno.. man of the match wa leo. uje umchukue dada yangu "ukamgegede "mpaka uchoke maana leo umetuokoa na kutukosha sana sisi wanayanga.. tafadhali usipuuze wito ...
[emoji23][emoji23][emoji23]🤫🤫🤫Okwi hakuna kitu pale..ameshaisha anachofanya ni kula pesa za Simba tu inafaa ahamishiwe timu ya maveterani
Naona amelike!!Jamaa anadai anakutaka wewe mwenyewe, vipi upo tayari??
sasa mbona kamkataa dada yangu.. anasema anamtaka kombaME????Jamaa anadai anakutaka wewe mwenyewe, vipi upo tayari??
A simple Avatar should never fool you. You are better that that!!! [emoji23][emoji23]Kama wewe ni police huwezi Fanya uchunguzi
Hzo mbinu zimemfanya yanga leo ashinde?? Au ndio mbinu zilizoshindwa kumpa ushindi?Kucheza faulo ni moja ya technique!.... Yanga mbinu zao zimefanikiwa na sasa hivi wanajiandaa kubeba ubingwa...!.. Hakuna wa kuwafikia tena njia ya ubingwa ni nyeupeee... Simba hawana mbinu za ushindi wanacheza bila malengo
Out of your avatar I mean itA simple Avatar should never fool you. You are better that that!!! [emoji23][emoji23]
Ku a tofauti gani na nyinyi WACHAWI FC Mnao shangilia possesion...?Nyie vyura mnashangiliaje droo? Mmejipanga humu kujipongeza wenyewe kisa droo.. mmejikatia tamaa sana
hakikaKipa bora kwa ukanda huu wa afrika mashariki na kati....
Hakuna mwanasimba anayeshangilia Leo. Kila mwanasimba anasikitika maana hatukutegemea haya matokeo kwa hali ya ubora tulionao.. wenzetu meno 32 yote nje... mnavua hadi nguo kushangilia sare.. kariakoo derby inapoteza mvutoKu a tofauti gani na nyinyi WACHAWI FC Mnao shangilia possesion...?
[emoji23][emoji23]
Ouk lakini aliniambia anamtaka kombaME ...sasa kwanini usimpe ndogo tuu sababu unasumbua humu...Yeye yupo pale kuokoa mpira usiingie wavuni ndo kazi yake na analipwa mshahara, dada ako huyo mtafutie teja manzese aje amsugue..
Aaaah adje beira??Ahahahaaa Pancho baby boy mwenyewe
Mpira wa kwanza tu fair play maajabu hajawah kuishaFaire play.