Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Daah mwana kuna jamaa hapa linanshikilia sana yaaniFresh mzazi niaje
Ni waziKwa Leo tumepona
Hata msimamo was ligi hujui, eti ligi ikiisha leo unafikiri kamari ileLigi ikiisha leo mabingwa ni Yanga..... Simba ni ya nne...Mpira bila magoli ni upuuzi mtupu
Leta mahari mkuuDada yako bikra?
Mkuu usajili 1.3 billion vs usajili wa million miambili kwani watu wasishangilieAfu sasa huku mtaani wanavoshangilia hiyo dro kama wameshinda vile
Kweli mkuuKipa bora kwa ukanda huu wa afrika mashariki na kati....
Dada yako bikra?Leta mahari mkuu
Alafu wanategemea kuongoza ligi kwa mpira ule huwezi jua kipa yupi, beki ni yupi, kiungo wala forward wote wapo golini muda woteTatizo unabishana
Endeleeni kushangilia droo... Huku jijini jam mmeziba njia na kuimba nyimbo sababu ya sale.
Lipi hilo mzeeDaah mwana kuna jamaa hapa linanshikilia sana yaani
Na sisi tukianza kuzungumzia ya Bingwa wa kihistoria.....?[emoji23]Kuwa na adabu unaongea na bingwa mtetezi, timu iliyotoa kipa bora, mfungaji bora hadi mchezaji bora
Nenda kwenye siasa kule mpira waachie wenyeweMbao ni ya tatu wewe ..ya kwanza Yanga..pili Mtibwa ,Mbao.., inayoshika mkia ya nne ni SIMBA
Nani alihitaji zaido sare?Hakuna mwanasimba anayeshangilia Leo. Kila mwanasimba anasikitika maana hatukutegemea haya matokeo kwa hali ya ubora tulionao.. wenzetu meno 32 yote nje... mnavua hadi nguo kushangilia sare.. kariakoo derby inapoteza mvuto
hilo choko linaitwa kombaMELipi hilo mzee
haha timu tatu za mwanzo Yanga, Mtibwa na Mbao zinagombania ubingwa ...kuanzia timu ya nne Simba, Lipuli ,Alliance na nyingine zinapambana zisishuke darajaHata msimamo was ligi hujui, eti ligi ikiisha leo unafikiri kamari ile
sasa kuna bk za aina 2 ntajuaje??Dada yako bikra?
Jibu swali kwanza.
Vile shabiki wa yanga anafurahia dro[emoji1]Mkuu usajili 1.3 billion vs usajili wa million miambili kwani watu wasishangilie
Zote anazo?sasa kuna bk za aina 2 ntajuaje??
Achana naye uniona mtu anazingua usiwe unajibu unapiga kimiya tuhilo choko linaitwa kombaME