Kikosi chepesi
😀Pamoja na kufanikisha muamala.. Kipigo kipo pale pale.
Kwenye picha ni Kiongozi wa Ndala akiwa na marefa watakaochezesha mechi ya leo baada ya kuhakiki meseji za muamala zimefika.View attachment 882152
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna msemo unasema ukiona manyoya ujue tayari keshaliwa huyo. Naona minyoya hiyo shingoniMnyama akiwa kwenye Mawindo. Akimkosa Nyumbu hata Chura anafyeeekelea mbali[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 882146
Kwa kujifariji bhana mnaongoza aisee lakin nakuomba tu usikimbieNafasi ya hizi timu katika Msimamo wa TPL
3. Yanga SC - Point 12
5. Simba SC - Point 10
Namuona mnyama mkali mwituni akienda kupindua meza kibabe siku ya leo.
Wambie na kwamba yanga hajawahi poteza wala kusuluhu lakin simba kadhapapaswa na kudinywaUimara wa safu za ulinzi mpaka sasa
1. Simba SC kafungwa vigoli viwili tu
2. Yanga SC kafungwa magoli manne
Ikumbukwe mpaka sasa Simba SC kacheza mechi nyingi ukilinganisha na Ndala.
Dhahiri shahiri serikali Leo itaingia hasara ya kununua vitu vingine uwanja wa taifa, mikia fc lazima watang'oa Vito kama kawaida yao pale makambo na tambwe watakavyo Fanya yaoNishapeleka taarifa za huu msiba katika vyombo vya ulinzi na usalama.. Naimani ili kupunguza maafa, zoezi la uokozi litaanza mapema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kuhusu timu iliyofungwa goli 3 na mchezaji mmoja katika mechi 1?Wambie na kwamba yanga hajawahi poteza wala kusuluhu lakin simba kadhapapaswa na kudinywa
ahhahaah hicho chuo cha umbea ulikopata hiyo taaluma kipo wapiYakiwa yamebaki masaa kadhaa mpira uanze, wakati Simba akitoa lineup yake ya gemu ya leo tangu jogoo alipowika alfajiri.. Upande wa Ndala mpaka sasa bado.
Taarifa za ndani zinasema kuna mvutano Mkubwa katika benchi la ufundi. Kocha anataka Kindoki akae langoni huku wachezaji na baadhi ya viongozi wakipinga.
Nitaendelea kuwajuza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo goli 3 zilisaidia timu yake ?,Vipi kuhusu timu iliyofungwa goli 3 na mchezaji mmoja katika mechi 1?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nipo hapa timamu kabisa kabla na baada ya mechi ili kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa.. Na naaminj Ndala dk 15 za mwanzo, watarudi makwao.Kwa kujifariji bhana mnaongoza aisee lakin nakuomba tu usikimbie
Kagere amekataa kuvaa hirizi hivyo hachezi. Boko yupo nje kwa kadi. Ninja atamtoa Okwi mapema akatibiwe. Kwisney mikia.Yakiwa yamebaki masaa kadhaa mpira uanze, wakati Simba akitoa lineup yake ya gemu ya leo tangu jogoo alipowika alfajiri.. Upande wa Ndala mpaka sasa bado.
Taarifa za ndani zinasema kuna mvutano Mkubwa katika benchi la ufundi. Kocha anataka Kindoki akae langoni huku wachezaji na baadhi ya viongozi wakipinga.
Nitaendelea kuwajuza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuweka rekodi ambayo imedumu kwa wiki kadhaa.. Maana leo Kagere anaenda kuivunja.Hizo goli 3 zilisaidia timu yake ?,