TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

Naona mmekutana mambumbumbu mnajazana ujinga tu. Time is the best answer, subirini hiyo sa 11. Kambi Morogoro kazi uwanjani hatuna mbwembwe za uturuki wala kufuga mabeberu sisi.

Tambwe akiwakosa leo Ajib hawaachi. Usimsahau Makambo
Wape wape wape vidonge hivyo Kaka wakimeza wakitema shauri yao.

Huo ndio ukweli uliousema.

πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
 
Nyie kweli soka limekuja bahati mbaya upande wenu. Kutwa kuwaza ushirikina, na rafu tuu.

Hamna pa kutokea pale Taifa, huyo Mk14 atakuchoma jicho moja..Makwasukwasu Nyie
Kagere amekataa kuvaa hirizi hivyo hachezi. Boko yupo nje kwa kadi. Ninja atamtoa Okwi mapema akatibiwe. Kwisney mikia.
 
Simba ni mtetezi wa VPL sio TPL note
 
Mtani kweli kazi leo umeipata. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hivi Ghazwat yupo kweli au ndio ameshajichimbia? 😜😜😜
 
Haitokei hata siku moja. Win or lose tupo gado. Na leo ushindi ni asubuhi tu. Msianze kutafuta wachawi
Waambie hao.

Sisi hatuna kawaida ya kukipia sababu tunajua mpira ni nini. Sio kama yeye Mtani sembo wakifungwa anazima Data. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Anarudi saa ya goli. Teh teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…