Haya ni baadhi ya magazeti 01/10/2018 baada ya mechi ya Leo.
Championi
KAGERE HASHIKIKI
- Awapangua mabeki wa yanga Kama anachambua mchele..
-Zahera amsifia, atapa kulipa kisasi February..
Mashabiki WA yanga wazimia, walazwa muhimbili na temeke.
Mwanaspoti
SIMBA GARI IMEWAKA
- Yaichakaza yanga 3:1
- Yanga watafuta mpira kwa tochi
- Kagere awa gumzo
Nipashe
TENI AGOMEA WAANDISHI WA HABARI
- Ni kufuatia kipigo cha Jana.
- Mzee Akili Mali aujia juu uongozi wa yanga.
Majira
KAGEREEEEEEEEEEE
- Avunja rekodi ya kibaden
- Apiga hat trick, yanga walia na mwamuzi.
Uhuru
SIMBA RAHA SANA
- Yacheza mpira wa majuu
- KAGERE awindwa na timu za ulaya
- Magoli yake si ya nchi hii.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using
Jamii Forums mobile app