TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

Impact yake iko hivi;
1. Ndala mna ukuta mbovu saana, ambao MK14, Okwi, Kichuya, Salamba n.k kila mmoja ataondoka na goli zaidi ya 1
2. Ukuta wa Mnyama unaweza kuufananisha na ule wa Berlin.. haupitiki kabisa.. Kwa kifupi Ajibu, Mama Kambo hawana uwezo wa kuvunja mnyororo unaoenda kutengenezwa na.. Kapombe, Nyoni, Wawa na Tshabalala
3. Kuhusu msimamo, tunaenda kuwashusha leo.. Na si tunawashusha tu, bali hili zoezi litaambatana na kipigo kizito tutakachowashushia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukuta wa Berlin ukiongozwa na Kakolanya hauwezi vunjwa na mafoward wazeeee kama Okwi na Kagere
 
Hatimaye 30/09/2018 imefika. Leo ni siku ambayo ilikua ikisubiriwa kwa hamu sana ambapo, Bingwa Mtetezi wa TPL, Simba SC atamkaribisha Yanga SC katika dimba la Taifa Stadium.

Mechi hii inatarajiwa kuanza mnamo saa 11 kamili.

Update 1.
Jeshi La Maangamizo la Simba SC
Kikosi Cha Kwanza
1. Aishi Manila
2. Shomari Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Erasto Nyoni
5. Pascal Wawa
6. James Kotei
7. Jonas Mkude
8. Clatous Chama
9. Meddie Kagere
10. Emmanuel Okwi
11. Shiza Kichuya
Kikosi Cha Akiba
1. Deogratius Munishi
2. Paul Bukaba
3. Asante Kwasi
4. Said Ndemla
5. Mo Ibrahim
6. Adam Salamba

Update 2.
Kikos cha Yanga SC
1. Benno Kakolanya
2. Paul Godfrey
3. Gadiel Michael
4. Vicent Andrew 'Dante'
5. Kelvin Yondani (C)
6. Feisal Salum 'Fei toto'
7. Deus Kaseke
8. Papy Tshishimbi
9. Herietier Makambo
10. Ibrahim Ajibu
11. Mrisho Ngasa

SCORE UPDATES:

Hadi mapumziko (HT): Simba 0-0 Yanga (Kipindi cha kwanza kimetawaliwa zaidi na Simba)

SCORE UPDATES:

FT: Mpira umeisha.. Simba SC 0-0 Yanga SC
H
Screenshot_20180930-191736.png
KAMAA ULISOMAA HII POST USINGEENDA TAIFAAA.. SIO MNAJIMU MIE
Screenshot_20180930-191736.png
 
Nasikia yanga walipaki mtrakta wakati simba walikua wanagumia guta kwenye kufunga
 
Back
Top Bottom