laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
hizo ni mbinu za kawaida za soka., hata Messi wa Barcelona alishawahi kufanya hivyoAjibu alivyo anzisha mpira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hizo ni mbinu za kawaida za soka., hata Messi wa Barcelona alishawahi kufanya hivyoAjibu alivyo anzisha mpira
Kwamba mipira ya golini iende nje hama?Man of the match ni Ajib,asingefanya maamuzi magumu leo 5-0 ingekua ni hesabu ndogo
Mpira huo huo Yanga wanaongoza ligi,hawajafungwa mechi hata moja,..Simba na mpira wao wameshachezea kichapoAlafu wanategemea kuongoza ligi kwa mpira ule huwezi jua kipa yupi, beki ni yupi, kiungo wala forward wote wapo golini muda wote
au sio blood angu??Achana naye uniona mtu anazingua usiwe unajibu unapiga kimiya tu
Bangi ipi mkuu kindoki ama??Alafu wanatupangia ile bangi
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Vile shabiki wa yanga anafurahia dro[emoji1] View attachment 882774
KindokiBangi ipi mkuu kindoki ama??
Mawazo ya kike kama haya huja mpira ukiisha,manina mwanzo hamkusema kama mwahitaji sare.Mmeshikwashikwa mkawa wet eneo zima mnabahati sana Okwi alikula vumbi la Congo ikawa nguvu kumwaga haaaaa haaaaNani alihitaji zaido sare?
Jibu usinipe mimi...
Ndio uchawi wenyewe huohizo ni mbinu za kawaida za soka., hata Messi wa Barcelona alishawahi kufanya hivyo
Hahahaaaa wanaiogopa Simba balaaa hawa wasomaliAfu sasa huku mtaani wanavoshangilia hiyo dro kama wameshinda vile
Wanavyoshangilia unaweza hisi wamecheza na BarcelonaHahahaaaa wanaiogopa Simba balaaa hawa wasomali
Una utani na Harmorapa?Vile shabiki wa yanga anafurahia droView attachment 882760
Mnaongoza ligi ya kuombaomba siyo hii ya TPLMpira huo huo Yanga wanaongoza ligi,hawajafungwa mechi hata moja,..Simba na mpira wao wameshachezea kichapo
hahaha kindoki humpendi mkuu??Kindoki
Uliona magoli aliofungwa na stndhahaha kindoki humpendi mkuu??
Pana alhaj (mmoja aliwabatiza jina unahitaji utulivu kumuelewa khasa kwa kupindi alipo wapachika jina hilo.Nina mashaka na hawa mashabiki wa Simba uelewa wao naona wamekaa kishirikina kishirikina tu
Kombe la Dunia 2018 lilichezwa lini hadi lini? Yanayoitwa mashindano ya Klabu Bingwa Africa ya Mashariki na Kati ya huyo Musonye wako ambayo Azam alitwaa ubingwa yalichezwa lini hadi lini? Wewe ndiye unajua sana kuhusu hilo, kwaheri Mjuaji!Hujui lolote kuhusu hilo. Safari hii baada ya kujitoa aliamua kukubali hoja ya Yanga.
Kipindi kile ndo alitoa hayo matusi, kama hutaki sikushikii bunduki..!
Kwa hiyo 11 vs 1 na mmeshindwa kushinda, the squad is worthless.Leo ilikua ni Simba vs Benno
Mkuu baadhi ya mambo tuache ushabiki. Nasema tena sio Kagame hii 2018. Kagame hiyo Yanga walipewa adhabu ya kufungiwa...!Kombe la Dunia 2018 lilichezwa lini hadi lini? Yanayoitwa mashindano ya Klabu Bingwa Africa ya Mashariki na Kati ya huyo Musonye wako ambayo Azam alitwaa ubingwa yalichezwa lini hadi lini? Wewe ndiye unajua sana kuhusu hilo, kwaheri Mjuaji!