TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu Usaili (Interview) Za TRA

Kanye2016

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
2,904
Reaction score
3,006
Habarini Wakuu!!!!!!

Kama mlivyoona kwenye mitandao ya kijamii. Mamlaka ya Mapato nchini Tanzania wametoa fursa za ajira kwa vijana wa kitanzania.

Fursa ni nyingi kweli na wamegusa fani nyingi tu. Jumla ya nafasi walizotangaza ni 1596.

Kwa hiyo Wakuu kama kuna mtu ana link ya Group ambao wana solve maswali kwa ajili ya kujiandaa na Interview hii naomba uweke link hapo chini ili watu tujumuike wote.

Ushirikiano ni muhimu watu wote watoboe. Cha muhimu kufika kwenye Oral.

Na kama una hints au topic au maswali unajua yataulizwa, tusaidie kuweka chini hapo kwenye comment ili wengi wafaidike.

Shukran.
 

Attachments

Nikweli umenena
 
Uzi mzuri sanaaa.. Nimesubscribe
 
Nenda wewe kama wewe ukajibu unachoulizwa.

Mbinu pekee ni ya ndugu naizeshen, hata ukijibu ushuzi utapita.
 
Km huna connection utajichosha bure
Mungu yupo kama amekuandikia upate utapata hata kama huna Connection.. Japo ulichocomment ndo uhalisia ulivyo
Mungu kwanza bro waliopo kwenye system sio wote waliingia kwa mfumo wa connection Mzee jiamini soma omba mungu kapambane subili majibu
 
Hapo katika office attendant lazima uwe na Cheti cha hiyo fani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…