TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu Usaili (Interview) Za TRA

TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu Usaili (Interview) Za TRA

Aliyekwambia wanawake wanapambana bila kudanga nani? 😹

Hata hao waliowekwa huko juu usifikiri wamejiweka tu.!! Hakuna mwanaume anakubali kuona jinsia ke inamtawala lazima kuna namna imefanyika..!!
Dah hilo ni kweli kabisa , kipindi cha nyuma kuna mtu nilimleta nilipo nikijua nitajilia tu kufika baada ya mwaka kapata danga nakunipotezea ikabidi nivunge tu , tena niliona niende Ethiopia lakini wap🤣🤣🤣😅
 
Watu wanapata bwana usiwavunje moyo watu machungu yakupoteza gharama zako kufanya interview ukakosa usilete kuwaaminisha watu ajira zinatangazwa geresha acha watu wapambane nawao waone usikatishe watu tamaa kila mtu na njia yake kwenye hii Dunia tulia dada subili
 
Back
Top Bottom