min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Dah sema nyero sijui ipoje hata ukipata mchuchu bado unaiwaza tu😒😹😹😹 Mwenzio anailia kitu motro OG wewe unajitesa na sabuni.!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah sema nyero sijui ipoje hata ukipata mchuchu bado unaiwaza tu😒😹😹😹 Mwenzio anailia kitu motro OG wewe unajitesa na sabuni.!!
Mbona unanikatisha tamaa 😜😅😅😅Km huna connection utajichosha bure
Wewe km unalipa, wezere unalo sura inatazamika mtafute kigogo wa TRA chap unalamba ajira..!!Mbona unanikatisha tamaa 😜😅😅😅
Ila asije tu kudanga nataka awe anapambana kama wewe .Nishampa vigezo na masharti 😹
😅😅 Daah Kazi Ipo.Nimefurahi sanaWachaga wa sasa hasa hawa vijana wa 2000 ni shida nimempa dogo asimamie biashara yeye kaito,,,bea yote.😅😅
Kwa nini mkuu?😅😅 Daah Kazi Ipo.Nimefurahi sana
Aliyekwambia wanawake wanapambana bila kudanga nani? 😹Ila asije tu kudanga nataka awe anapambana kama wewe .
Dah hilo ni kweli kabisa , kipindi cha nyuma kuna mtu nilimleta nilipo nikijua nitajilia tu kufika baada ya mwaka kapata danga nakunipotezea ikabidi nivunge tu , tena niliona niende Ethiopia lakini wap🤣🤣🤣😅Aliyekwambia wanawake wanapambana bila kudanga nani? 😹
Hata hao waliowekwa huko juu usifikiri wamejiweka tu.!! Hakuna mwanaume anakubali kuona jinsia ke inamtawala lazima kuna namna imefanyika..!!
Kweli hapa hata mm sija elewa mpaka sasa kuhusu ishu ya kuweka vyeti mkuu.wakuu sorry vyeti vinakuwa kwa single document au kivya vyake tu
Sio TRA huko mnaitwa ili kupewa moyo kwamba ajira zinatolewa kwa wote ila kiuhalisia km huna connection hiyo bahati haipo..