Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyau wewe 🤣🤣😹😹😹 Kkoo nataka kutoka, nimepata dili veggies nikagonge meza.!!
Nadhani huna uelewa na hizi interviewKm huna connection utajichosha bure
Basi ajira umepata chagua kituo cha kazi..!!Vyote ninavyo 😅
Wewe sio kwa kisema haya kwa ukongwe wako!Nenda wewe kama wewe ukajibu unachoulizwa.
Mbinu pekee ni ya ndugu naizeshen, hata ukijibu ushuzi utapita.
Wewe mwenye uelewa mpe kazi.Nadhani huna uelewa na hizi interview
Negativity zako kaa nazo mwenyewe wangapi wamepata izo kazi bila connection au unaongea ili uonekane umechangia kitu.Wewe mwenye uelewa mpe kazi.
Tunduma Dada 😅😅😅sitaki utani nataka Mipakani tu.Basi ajira umepata chagua kituo cha kazi..!!
Hii comment ni kubwa na imebeba uhalisia zaidi Tena kutoka kwa platinum member.Nenda wewe kama wewe ukajibu unachoulizwa.
Mbinu pekee ni ya ndugu naizeshen, hata ukijibu ushuzi utapita.
Ndio ipo hivyo inatakiwa kuwa single document sema mfumo bado hujakaa sawaKweli hapa hata mm sija elewa mpaka sasa kuhusu ishu ya kuweka vyeti mkuu.
JPM era.Negativity zako kaa nazo mwenyewe wangapi wamepata izo kazi bila connection au unaongea ili uonekane umechangia kitu.
😹😹😹 Labda ajira za ZRA ila km TRA narudia tena atajichosha..!Negativity zako kaa nazo mwenyewe wangapi wamepata izo kazi bila connection au unaongea ili uonekane umechangia kitu.
Lijanja wewe unajua border utapiga pesa fasta 😹Tunduma Dada 😅😅😅sitaki utani nataka Mipakani tu.
Acha watu waombe don't preach negativity😹😹😹 Labda ajira za ZRA ila km TRA narudia tena atajichosha..!
Wewe unafananisha miaka yako ya enzi ya mwalimu na ajira za ss hivi..!
Nikishazipata tu nawaandikia uzi “ wanawake wote wasiokua na pesa hamjielewi 😅😅😜Lijanja wewe unajua border utapiga pesa fasta 😹
Mkuu hapoo n MAOMBIII tyuHabarini Wakuu!!!!!!
Kama mlivyoona kwenye mitandao ya kijamii. Mamlaka ya Mapato nchini Tanzania wametoa fursa za ajira kwa vijana wa kitanzania.
Fursa ni nyingi kweli na wamegusa fani nyingi tu. Jumla ya nafasi walizotangaza ni 1596.
Kwa hiyo Wakuu kama kuna mtu ana link ya Group ambao wana solve maswali kwa ajili ya kujiandaa na Interview hii naomba uweke link hapo chini ili watu tujumuike wote.
Ushirikiano ni muhimu watu wote watoboe. Cha muhimu kufika kwenye Oral.
Na kama una hints au topic au maswali unajua yataulizwa, tusaidie kuweka chini hapo kwenye comment ili wengi wafaidike.
Shukran.
Sawa mkuu wote watapata inshallah 😀Acha watu waombe don't preach negativity
Kuna watu kiasili they will never win any success battle .
So usiwakatishe watu tamaa WTF Kama wewe ulikosa amini tu ni wewe .