N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Kila la heri kiongoziSawa Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila la heri kiongoziSawa Mkuu
We dada nilikua nakuona mtu wa maana kwenye jukwaaa kumbe ni mpumbavu kabisa inawezekana una elimu ndogo.😹😹😹 Labda ajira za ZRA ila km TRA narudia tena atajichosha..!
Wewe unafananisha miaka yako ya enzi ya mwalimu na ajira za ss hivi..!
Mkuu kabla huja upload embu nisaidie wazo la kujaza pale kwenye "pascode." Maana imekuwa kipengele kwa sisi tulio kwamia hapo mpaka sasa.Wakuu msaada hapa kwenye kujaza Qualifications ni kwamba una - upload file moja lenye vyeti vyote ( yani kuanzia cheti cha kuzaliwa hadi chuo ) ??
Au inabidi tu upload cheti kimoja moja ??
Oky ,, labda mimi ndiyo sijakuelewa uliposema pascode umemaanisha kwenye kipengele za password ??Mkuu kabla huja upload embu nisaidie wazo la kujaza pale kwenye "pascode." Maana imekuwa kipengele kwa sisi tulio kwamia hapo mpaka sasa.
Bora umeamua kukuiri, hio wakulungwa tu ndio tunaelewa😁 ukimuona ngedere mjini jua ana mwenyewe.Aliyekwambia wanawake wanapambana bila kudanga nani? 😹
Hata hao waliowekwa huko juu usifikiri wamejiweka tu.!! Hakuna mwanaume anakubali kuona jinsia ke inamtawala lazima kuna namna imefanyika..!!
Unataftiwa timming ya kumbwato 😂 huyo wakala wa Veggies atakupasulia mayai na kukuacha kwenye mataa ya Salender Bridge. Jimix by Yas ujae kwenye mfumo wa mjumbe wa kamati😁😹😹😹 Kkoo nataka kutoka, nimepata dili veggies nikagonge meza.!!
Udereva huwa hauna dili sana kama vitengo vya kula kiyoyozi ndani ya ghorofa pacha muleKuna Dereva alienda kufanya usaili nafasi ilikuepo moja tu.
Na hakupata nafasi
Ila baadae aliitwa pale wizara ya mambo ya nje na sasa yupo Serikali kuu Kama dereva ,posho, kibao
Hakuwa na connection yoyote Ila the guy now he made it .
So mambo ya connection yapo Ila we need to live in limitless world and the world of possibilities.
Hauna dili ikiwa upo halmshauri na sio sehemu Kama hiyo niliotaja.Udereva huwa hauna dili sana kama vitengo vya kula kiyoyozi ndani ya ghorofa pacha mule
Sawa mkuu wote watapata inshallah 😀
Kwamba TRA wao hawalipwi mishahara ya laki 3/3 za udereva?Hauna dili ikiwa upo halmshauri na sio sehemu Kama hiyo niliotaja.
Wana ukabila hao viumbe ni hatari,hawafai kabisaNa walivyojaa wachaga sasa 😹😹
Wachaga nawakubali kwa kunusa fursa na wengi wanawekana..!!
Sijui waliambiwa ni mali yao mpk wanarithishana 🤣
Toa jicho ufauluHabarini Wakuu!!!!!!
Kama mlivyoona kwenye mitandao ya kijamii. Mamlaka ya Mapato nchini Tanzania wametoa fursa za ajira kwa vijana wa kitanzania.
Fursa ni nyingi kweli na wamegusa fani nyingi tu. Jumla ya nafasi walizotangaza ni 1596.
Kwa hiyo Wakuu kama kuna mtu ana link ya Group ambao wana solve maswali kwa ajili ya kujiandaa na Interview hii naomba uweke link hapo chini ili watu tujumuike wote.
Ushirikiano ni muhimu watu wote watoboe. Cha muhimu kufika kwenye Oral.
Na kama una hints au topic au maswali unajua yataulizwa, tusaidie kuweka chini hapo kwenye comment ili wengi wafaidike.
Shukran.
TRA Sijajua Mimi nimezungumzia alipo jamaa yangu ni wizara ya mambo ya nje so analipwa vzr SanaKwamba TRA wao hawalipwi mishahara ya laki 3/3 za udereva?
Hapana mkuu kwenye kufungua account ya ajira pale baada ya verify password kwa mara ya pili ndio inakuja enter one time passcode, na yenyewe pia ina sema verify, bila ya hiyo passcode haifunguki kabisaOky ,, labda mimi ndiyo sijakuelewa uliposema pascode umemaanisha kwenye kipengele za password ??
Kwa upande wangu mimiHapana mkuu kwenye kufungua account ya ajira pale baada ya verify password kwa mara ya pili ndio inakuja enter one time passcode, na yenyewe pia ina sema verify, bila ya hiyo passcode haifunguki kabisa
Inaweza kuwa sahihi, sababu mishahara ya kibongo inatofautiana kulingana na ofisi. Dereva wa TPDC ana mashavu kuliko dereva wa wizara ya kilimo.TRA Sijajua Mimi nimezungumzia alipo jamaa yangu ni wizara ya mambo ya nje so analipwa vzr Sana
We umesoma ICT nimeona Kama ipoMimi Bachelor yangu haijatajwa, sijui nafanyaje au ndio nikaushe tu