Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Na waache kudanga hovyo wapambane ๐นNikishazipata tu nawaandikia uzi โ wanawake wote wasiokua na pesa hamjielewi ๐ ๐ ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na waache kudanga hovyo wapambane ๐นNikishazipata tu nawaandikia uzi โ wanawake wote wasiokua na pesa hamjielewi ๐ ๐ ๐
Lamomy Mimi sio Mzee kiivo bana ๐.๐น๐น๐น Labda ajira za ZRA ila km TRA narudia tena atajichosha..!
Wewe unafananisha miaka yako ya enzi ya mwalimu na ajira za ss hivi..!
Sasa kama alichoandika ndio uhalisia wenyewe, Huoni huyo Mungu ni uongo?Mungu yupo kama amekuandikia upate utapata hata kama huna Connection.. Japo ulichocomment ndo uhalisia ulivyo
Kwenye kuapa hapo TU. Ilinishangaza labda aliogopa na kuona hastaili kushika Ile nafasi WAKATI.Pambaneni, Yako ni yako tu. Msisahau kama si yako itakupita hata ukiwa na kila kitu. Kipindi cha JPM kuna mtu haikuwa yake akashindwa kuapa.
Acha tu mkuu. Dunia hii.Kwenye kuapa hapo TU. Ilinishangaza labda aliogopa na kuona hastaili kushika Ile nafasi WAKATI.
MWANANGU WA STANDARD 5 ange apa Tena bila wasiwasi kabisa
Umeadimika Sana mkuu.Kuna Dereva alienda kufanya usaili nafasi ilikuepo moja tu.
Na hakupata nafasi
Ila baadae aliitwa pale wizara ya mambo ya nje na sasa yupo Serikali kuu Kama dereva ,posho, kibao
Hakuwa na connection yoyote Ila the guy now he made it .
So mambo ya connection yapo Ila we need to live in limitless world and the world of possibilities.
Kweli ila nipo Mkuu, naimani wewe mzima kabisa .Umeadimika Sana mkuu.
Nipo powaaKweli ila nipo Mkuu, naimani wewe mzima kabisa .
"Good to hear " mtumishiNipo powaa
Usaili alifanya kupitia Utumishi ?Kuna Dereva alienda kufanya usaili nafasi ilikuepo moja tu.
Na hakupata nafasi
Ila baadae aliitwa pale wizara ya mambo ya nje na sasa yupo Serikali kuu Kama dereva ,posho, kibao
Hakuwa na connection yoyote Ila the guy now he made it .
So mambo ya connection yapo Ila we need to live in limitless world and the world of possibilities.
YesUsaili alifanya kupitia Utumishi ?
Waambie mapema kabisa Connection kwanza huna wewe unasaga soli tu maana hizo nafasi tayari zina wenyewe zimetoka km ushahidi tuKm huna connection utajichosha bure
Nimewaambia wanaona nawaonea wivu eti ๐นWaambie mapema kabisa Connection kwanza huna wewe unasaga soli tu maana hizo nafasi tayari zina wenyewe zimetoka km ushahidi tu
Huyo kapigiwa assist katika namna ambayo yeye mwenyewe hajui ni nani aliempigia hio assist mpaka leo kwa hio usiseme katoboa mwenyewe kuna mtu kampitishia connection ndio akaingizwa na hamjui huyo mtu mpaka leoKuna Dereva alienda kufanya usaili nafasi ilikuepo moja tu.
Na hakupata nafasi
Ila baadae aliitwa pale wizara ya mambo ya nje na sasa yupo Serikali kuu Kama dereva ,posho, kibao
Hakuwa na connection yoyote Ila the guy now he made it .
So mambo ya connection yapo Ila we need to live in limitless world and the world of possibilities.
Wa kunyumba nakuomba PM dearNishampa vigezo na masharti ๐น
Habarini Wakuu!!!!!!
Kama mlivyoona kwenye mitandao ya kijamii. Mamlaka ya Mapato nchini Tanzania wametoa fursa za ajira kwa vijana wa kitanzania.
Fursa ni nyingi kweli na wamegusa fani nyingi tu. Jumla ya nafasi walizotangaza ni 1596.
Kwa hiyo Wakuu kama kuna mtu ana link ya Group ambao wana solve maswali kwa ajili ya kujiandaa na Interview hii naomba uweke link hapo chini ili watu tujumuike wote.
Ushirikiano ni muhimu watu wote watoboe. Cha muhimu kufika kwenye Oral.
Na kama una hints au topic au maswali unajua yataulizwa, tusaidie kuweka chini hapo kwenye comment ili wengi wafaidi
Naomba kujua kwa nini wanahitaji TIN number mwenye ile portal yao ya ajira. Ina maana kama sina na imewekwa redstar ina maana sitoweza ku apply?Habarini Wakuu!!!!!!
Kama mlivyoona kwenye mitandao ya kijamii. Mamlaka ya Mapato nchini Tanzania wametoa fursa za ajira kwa vijana wa kitanzania.
Fursa ni nyingi kweli na wamegusa fani nyingi tu. Jumla ya nafasi walizotangaza ni 1596.
Kwa hiyo Wakuu kama kuna mtu ana link ya Group ambao wana solve maswali kwa ajili ya kujiandaa na Interview hii naomba uweke link hapo chini ili watu tujumuike wote.
Ushirikiano ni muhimu watu wote watoboe. Cha muhimu kufika kwenye Oral.
Na kama una hints au topic au maswali unajua yataulizwa, tusaidie kuweka chini hapo kwenye comment ili wengi wafaidike.
Shukran.