TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu Usaili (Interview) Za TRA

TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu Usaili (Interview) Za TRA

Nikishazipata tu nawaandikia uzi โ€œ wanawake wote wasiokua na pesa hamjielewi ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜œ
Na waache kudanga hovyo wapambane ๐Ÿ˜น
 

Attachments

  • IMG_4486.jpeg
    IMG_4486.jpeg
    44.1 KB · Views: 5
Kuna Dereva alienda kufanya usaili nafasi ilikuepo moja tu.

Na hakupata nafasi

Ila baadae aliitwa pale wizara ya mambo ya nje na sasa yupo Serikali kuu Kama dereva ,posho, kibao

Hakuwa na connection yoyote Ila the guy now he made it .

So mambo ya connection yapo Ila we need to live in limitless world and the world of possibilities.
 
Kuna Dereva alienda kufanya usaili nafasi ilikuepo moja tu.

Na hakupata nafasi

Ila baadae aliitwa pale wizara ya mambo ya nje na sasa yupo Serikali kuu Kama dereva ,posho, kibao

Hakuwa na connection yoyote Ila the guy now he made it .

So mambo ya connection yapo Ila we need to live in limitless world and the world of possibilities.
Umeadimika Sana mkuu.
 
Kuna Dereva alienda kufanya usaili nafasi ilikuepo moja tu.

Na hakupata nafasi

Ila baadae aliitwa pale wizara ya mambo ya nje na sasa yupo Serikali kuu Kama dereva ,posho, kibao

Hakuwa na connection yoyote Ila the guy now he made it .

So mambo ya connection yapo Ila we need to live in limitless world and the world of possibilities.
Usaili alifanya kupitia Utumishi ?
 
Kuna Dereva alienda kufanya usaili nafasi ilikuepo moja tu.

Na hakupata nafasi

Ila baadae aliitwa pale wizara ya mambo ya nje na sasa yupo Serikali kuu Kama dereva ,posho, kibao

Hakuwa na connection yoyote Ila the guy now he made it .

So mambo ya connection yapo Ila we need to live in limitless world and the world of possibilities.
Huyo kapigiwa assist katika namna ambayo yeye mwenyewe hajui ni nani aliempigia hio assist mpaka leo kwa hio usiseme katoboa mwenyewe kuna mtu kampitishia connection ndio akaingizwa na hamjui huyo mtu mpaka leo
 
Hi
Habarini Wakuu!!!!!!

Kama mlivyoona kwenye mitandao ya kijamii. Mamlaka ya Mapato nchini Tanzania wametoa fursa za ajira kwa vijana wa kitanzania.

Fursa ni nyingi kweli na wamegusa fani nyingi tu. Jumla ya nafasi walizotangaza ni 1596.

Kwa hiyo Wakuu kama kuna mtu ana link ya Group ambao wana solve maswali kwa ajili ya kujiandaa na Interview hii naomba uweke link hapo chini ili watu tujumuike wote.

Ushirikiano ni muhimu watu wote watoboe. Cha muhimu kufika kwenye Oral.

Na kama una hints au topic au maswali unajua yataulizwa, tusaidie kuweka chini hapo kwenye comment ili wengi wafaidi
 
Habarini Wakuu!!!!!!

Kama mlivyoona kwenye mitandao ya kijamii. Mamlaka ya Mapato nchini Tanzania wametoa fursa za ajira kwa vijana wa kitanzania.

Fursa ni nyingi kweli na wamegusa fani nyingi tu. Jumla ya nafasi walizotangaza ni 1596.

Kwa hiyo Wakuu kama kuna mtu ana link ya Group ambao wana solve maswali kwa ajili ya kujiandaa na Interview hii naomba uweke link hapo chini ili watu tujumuike wote.

Ushirikiano ni muhimu watu wote watoboe. Cha muhimu kufika kwenye Oral.

Na kama una hints au topic au maswali unajua yataulizwa, tusaidie kuweka chini hapo kwenye comment ili wengi wafaidike.

Shukran.
Naomba kujua kwa nini wanahitaji TIN number mwenye ile portal yao ya ajira. Ina maana kama sina na imewekwa redstar ina maana sitoweza ku apply?
 
Back
Top Bottom