Perrez Amanaya7
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 201
- 208
Mkuu naomba unisaidie kujua ulivyo pata TIN number maana naona kila nikiweka namba ya nida haileti majibu yoyote kwenye registration hapa.Eeh hapo Tin ni mandatory sema kupata Tin si dakika 5 tu kwenye site yao ya Tra.
Au kuna procedure nyingine tofauti na hii ya kupata tin number mkuu.Mkuu naomba unisaidie kujua ulivyo pata TIN number maana naona kila nikiweka namba ya nida haileti majibu yoyote kwenye registration hapa.
Duuh hivi ni kweli haya mambo yapo?Mfano mzuri uhamiaji watu walitoa pesa wameliwa na pia wamejaaa watoti wa wakurugenzi tu pale
Vuta picha ana achwa mwanasheria walie sema watampa kipaumbele anachukuliwa mtu alie somea uratibu wa elimuDuuh hivi ni kweli haya mambo yapo?
Hivi hawa jamaa wa uhamiaji wakoje maslahi yao kwa level ya degree
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Watu wa halmashauri mna wadharau sana[emoji23]Hauna dili ikiwa upo halmshauri na sio sehemu Kama hiyo niliotaja.
Nenda Kweny Open service button (Apply for TIN) or Click SIGN UP>Ingiza NIDA&PhoneNo.Mkuu naomba unisaidie kujua ulivyo pata TIN number maana naona kila nikiweka namba ya nida haileti majibu yoyote kwenye registration hapa.
System itakaa sawa tarehe 19 saa tano usiku na saa sita ndio mwisho.Hii nimeiona kwa watu kama wanne hv. Nadhani labda baadae system ikikaa sawa mambo yatakuwa vizuri.
Ndio mkuu nashukuru sana kwa muongozo wako nili fanikiwa kupata.Nenda Kweny Open service button (Apply for TIN) or Click SIGN UP>Ingiza NIDA&PhoneNo.
ulipewa TIN namba kabisa au ulitumiwa refence namba?Ndio mkuu nashukuru sana kwa muongozo wako nili fanikiwa kupata.
Hapana mkuu wamenipa Tin namba kabisa kama utambulisho wangu, wakati wa mchakato kuna nywira wana tuma hizo ukiweka wana confirm taarifa zako za nida pamoja na phone namba then mfumo una kutaka uweke nywira yako kwa ajili ya matumizi ya kuangalia account yako ya Taarifa za Tin namba mkuu. Ina maana mwisho wa mchakato utakuwa na account ya tin namba ambayo ni registered kwenye portal ya TRA.ulipewa TIN namba kabisa au ulitumiwa refence namba?
maana mimi nimeomba tin wanatuma refernce namba then wanasema niende ofisi ya tra kumalizia mchakato
Mi pdf hapa haijaonekana, wanaitajika na group mtu alipendekeza. Wale walimu wangeweza kuanzisha group za kufundisha na kuapata kipatoHumu ndani mtu kaomba mbinu za kufaulu interview (written) ila maoni mengi ya watu yamekua tofauti na matakwa ya muhusika.
Anyways!!. Ndugu yangu Kanye2016 ili kufaulu mitihani ya kodi, Unatakiwa upitie pdf hizi hapa
Kitu kimoja kinachonishangazaga kwenye hizi ajira ni kwamba mnaomba wengi tena wenye sifa ila chaajabu mnatemwa wote na unasikia eti nafasi zimejaa sijui hao wanaoajiriwa ni kina nani🤣🤣🤣Habarini Wakuu!!!!!!
Kama mlivyoona kwenye mitandao ya kijamii. Mamlaka ya Mapato nchini Tanzania wametoa fursa za ajira kwa vijana wa kitanzania.
Fursa ni nyingi kweli na wamegusa fani nyingi tu. Jumla ya nafasi walizotangaza ni 1596.
Kwa hiyo Wakuu kama kuna mtu ana link ya Group ambao wana solve maswali kwa ajili ya kujiandaa na Interview hii naomba uweke link hapo chini ili watu tujumuike wote.
Ushirikiano ni muhimu watu wote watoboe. Cha muhimu kufika kwenye Oral.
Na kama una hints au topic au maswali unajua yataulizwa, tusaidie kuweka chini hapo kwenye comment ili wengi wafaidike.
Shukran.
OjUaN#@2015Wakuu hebu tusaidizane namna ya kuitengeneza password kwenye account ya kuombea ajira maana nimechemsha
Hivi TRA salary ni sh ngapi?Kupata wanapata ndio, lakini je hao wanaopata kwa uwezo wao ni wangapi ukiwalinganisha na hao wanaochomekwa na ndugu zao(connection), as a matter of fact kati ya hizo nafasi 1,600 nafasi ambazo zitakuwepo kama sandakalawe kwa ajili ya nyie wengine ambao hamna connection hazitazidi 200 zilizobaki zote 1,400 tayari mpaka sasa hivi zina watu wameshaandaliwa.
Kumbuka hizi ni kazi za TRA taasisi ambayo ni ndoto ya karibu kila mtanzania kuifanyia kazi, maana ukishaingizwa kwenye payroll tu miaka miwili baadae unakuwa sio wewe tena.
Interview waliofanya last time hawakuangalia sana qualification, kama uliomba nafasi na wakakuita Interview basi wewe utafanya. Tofauti na Utumishi ambao wananyima uhuru sana kwenye Qualification.Kitu kimoja kinachonishangazaga kwenye hizi ajira ni kwamba mnaomba wengi tena wenye sifa ila chaajabu mnatemwa wote na unasikia eti nafasi zimejaa sijui hao wanaoajiriwa ni kina nani🤣🤣🤣