Kupata wanapata ndio, lakini je hao wanaopata kwa uwezo wao ni wangapi ukiwalinganisha na hao wanaochomekwa na ndugu zao(connection), as a matter of fact kati ya hizo nafasi 1,600 nafasi ambazo zitakuwepo kama sandakalawe kwa ajili ya nyie wengine ambao hamna connection hazitazidi 200 zilizobaki zote 1,400 tayari mpaka sasa hivi zina watu wameshaandaliwa.
Kumbuka hizi ni kazi za TRA taasisi ambayo ni ndoto ya karibu kila mtanzania kuifanyia kazi, maana ukishaingizwa kwenye payroll tu miaka miwili baadae unakuwa sio wewe tena.