TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu Usaili (Interview) Za TRA

Watu wabishi hawapendi kusikia ukweli, mfano mzuri bungeni, wabunge wamepitishwa bila kupingwa halafu vilaza..!! Na wenye elimu nao wameungana na vilaza limekuwa bunge la kusifu na mapambio.!!

Wanachokifanya hakuna ni kupiga porojo, hata kuwasemea wananchi kero zao hamna.
Wanakula kodi zetu bure na bado wanapitisha miswaada ya hovyo ya kuuza rasilimali za nchi..!!
 
Unataka maswali ya Interview mbona Bado tunaaapply. Au Interview nilini ili niache kuapply
 
Naomba msaada kila nikijaribu kuji register inaleta huu ujumbe, nimetumia computer na simu vyote sijafanikiwa. Msaada tafadhali.
 
Asante mkuu kwa hizi hints, naamini zitatusaidia huko mbeleni.
 
Pepa zote hata za utumishi watu lazima wawe na maswali na majibu, kuwapata au kuwajua ndo changamoto hiyo.
 
Naomba msaada kila nikijaribu kuji register inaleta huu ujumbe, nimetumia computer na simu vyote sijafanikiwa. Msaada tafadhali. View attachment 3229165
Hatua za Kuchukua
  • Jaribu tena baada ya muda.
  • Hakikisha unaunganishwa kwa mtandao wa kasi.
  • Tumia browser tofauti.
  • Futa cache na cookies kwenye browser yako.
  • Angalia kama kuna taarifa rasmi kutoka kwa TRA kuhusu matatizo ya mfumo.
Ikiwa shida inaendelea, wasiliana na msaada wa kiufundi wa TRA kwa msaada zaidi. Unaweza kufikia msaada wao kupitia:
  • Barua pepe: support@tra.go.tz
  • Namba ya simu: +255 22 219 9200
  • Mitandao ya kijamii: Angalia kurasa zao rasmi za Facebook au Twitter kwa maelekezo zaidi.
Natumai hii itakusaidia kutatua tatizo lako

Ova
 
Asiwakatishe mtu tamaa wewe nenda fanya mtihani muombe Mungu utapata wapo watu kibao wamepata hawana ndugu wala cha connection tena wameingia ile ya majuzi hapo,jifue kweli kweli kapige paper then piga oral unatusua tuu.
 
Asante kwa maelekezo, nimejaribu njia zote mpaka kubadili browser lakini sijafanikiwa. Mpaka nikasema nijaribu usiku mwingi pengine itakua watu wamepungua shida ni hiyo hiyo.

Nadhani msaada wa mwisho ni kuwasiliana nao kama ulivyoshauri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…