TRA fanyeni kazi yenu kwa ufanisi! Watu hawaombi risiti na wenye maduka hawatoi risiti kikamilifu!

Kwa nchi zinazoendelea ikiwemo TZ compliance level ya ulipaji kodi iko chini sana kwa hiyo bila minimum enforcement ni sawa na kucheka na nyani mwisho wa siku ni kuvuna mabua!
 

Wakati mwingine tunapenda toa ushauri ambao ulishafanyiwa kazi na malalamiko yakaanza. Nakumbuka TRA waliwahi fanya operation watu wakalalamika na hata polisi wakikagua risiti watu wanalalamika.Lipi bora sasa
 
Wakati mwingine tunapenda toa ushauri ambao ulishafanyiwa kazi na malalamiko yakaanza. Nakumbuka TRA waliwahi fanya operation watu wakalalamika na hata polisi wakikagua risiti watu wanalalamika.Lipi bora sasa
Achana na walalamishi ,hii nchi huwa nasema siku zote ina watu walalamishi na mdomo Domo Sana sasa ni kuwapuuza ,TRA na Polisi fanyeni Kazi huna risiti ni faini tuu..

Unapata wapi haki ya kudai uhudumiwe na Serikali wakati hutimizi wajibu?
 
Mimi sipo kubishana kuhusu makusanyo kwa mwezi! Maana hata SIASA inaweza kufanya kazi! Kama wanakusanya kiasi hicho tozo za nini? Mara uchumi umeshuka? Hao ni waongo tunataka wakusanye kodi waachane na tozo zisizo na kichwa wala miguu!
unamaanisha kwa sababu friji linachakula basi huendi tafuta pesa
 
Umevuka lengo na nani ? Toa upumbavu wako hapa,wamekusanya kwa 94%

Pesa inayotakiwa takiwa kukusanywa ni nyingi zaidi ya hiyo.
Unajitia kiherehere kuumizwa na fedha inavyoenda kunufaisha bunge la Ndugai lisilokuwa na faida? Hata wasipokusanya yote wewe kinakuuma mini?
 
Unajitia kiherehere kuumizwa na fedha inavyoenda kunufaisha bunge la Ndugai lisilokuwa na faida? Hata wasipokusanya yote wewe kinakuuma mini?
Bora ikanufaishe hilo Bunge Kuliko kunufaisha watu wasio na msaada na Mimi..
 
Bora ikanufaishe hilo Bunge Kuliko kunufaisha watu wasio na msaada na Mimi..
Duh, kazi kweli kweli! Basi tuko tofauti! Mimi ningeumia kama viongozi wangekuwa na nidhamu ya fedha! Unaona wanajilipa mamilioni wakati watumishi wa umma wananyanyasika? Wanawalipa hata wake uviko-19 pesa za bure wakati siyo wabunge halali! Mimi nitaendelea kuwaachia wafanyabiashara!
 
Kwa nchi za kiafrika kila mtu mwizi tena mpaka viongozi wa juu,, si unaona mpaka uchaguzi uliibwa sembuse hizo risiti
 
Unaongea kama mgeni na hii nchi yani ni kama umekuja jana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Kijiji kinaitwa Mitezaa,huko kata ya Njia Nne - Wilaya ya Mkuranga.
Ndipo unapotoka udongo mweusi ambao ni malighafi ya kutengenezea tiles ya Goodwill.
No CSR.
Malori yanayolipiwa ushuru ni machache ukilinganisha na hali halisi.
Watu wanapiga pesa balaa ambayo ilitakiwa kuingia Halmashauri.
 
Kwa nchi zinazoendelea ikiwemo TZ compliance level ya ulipaji kodi iko chini sana kwa hiyo bila minimum enforcement ni sawa na kucheka na nyani mwisho wa siku ni kuvuna mabua!


Ni muhimu kutafakari kwa kina.
 
Unamuelewesha tena vizuri tu na kwa uweledi lakini huyo jamaa anakujibu kwa matusi ndiyo ujue ameshavurugwa anajifanya mzalendooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilijiuliza sana kwa jinsi yule dada wa kichina anavyokuwa akiprint risiti za uongo mbele yetu watanzania na je ingekuwa mtanzania yuko huko kwao akifanya hivo ingekuwaje?
OMBI
Hii mkuu kwao hakunaga ujinga wa ivi. Na ndo Mana kizazi chetu Cha kiafrika tutazidi kuwa watumwa milele mpaka Kiama.
USA ukwepe Kodi ama nchi yyte Kama China unakuwa,unataka wajeda,wauguxi walipwe Nini,walimu je itakuwaje
 
itasaidia vijana wetu kukua na mtazamo huo wa kutoa kodi!
Utasikia Kodi yako Posh Queen akapandishwa ndege akaenda bungeni Kama balozi wa utalii Mara amelala Gold Crest ya mwanza room kigogo anaijua.
Ushenzi mwingine Kodi yetu haitumiki kiusahihi watu wanalia Bata tu.
Yaani Ile selfish saivi iko kiwango Cha juu Sana yaani acha tu
 
Watanzania tuweni wazalendo pamoja na serkali kufanya kazi yake kikamirifu ya kukusanya kodi kupitia TRA.
Unajua Kuna mwaka Brazil ilikuja kucheza na Taifa stars ,tukalipa 3Bn Tzs money ama hulijui ili kumfurahisha baba.
Yeye uzalendo gani alitumia hapo.
Wakati Kuna headteacher huko anaishi kwa nyumba mbavu za mbwa ama ya matope afya yako iko matatani.
Unadhani atakuwa na munkari na kazi yake kweli jamani ya kutengeneza vijana kwa vijana wetu
.
 
Bora hao ni viongozi wa nchi kuliko jitu tuu ambalo linaitwa Tajiri lenye dharau Kwa wasio nacho ,siwezi kujiachia Hela wewe wakati nikiugua siji kwako hata nikija huwezi nisaidia nitaenda kwenye taasisi za serikali..

Usipolipa kodi ukaachwa Kwa bwanyenye hao unaosema watumishi wataongezewaje salary wakuhudumie wewe? Bwanyenye si ataenda Private hospital na wewe jee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…