Sasa wakwetu wanafanya ila it's better pesa zinabaki haphapa bongo sasa wenzetu. Wanaenda kununua apartment Canada na SingaporeSio kuwasingizia Wahindi au Wachina mbona hata maduka ya Wabongo hali ni hiyohiyo.
Sisi huwa tunajifanya Malaika mabaya yote yanafanywa Watu wa Jamii zingine.
Hahah kaka hela haitoshagi ukishapata vyote hivyo utatamani uwe na nyumba za kupanga na uwe na gari nyingine ya kutembelea.Hpn mkuu mm siyo muumin San wa Mali nyingi nipate kula na kutibiwa tu na pa kulala pa kawaida Basi mm Niko sawaa
Kweli kabsaaa Mama kasharuhusu upigaji jamaa analia lia tuWewe peke yako ndo umebak na uchungu na Taifa hili
Hpn mkuu taifa hili Bado Ni change Kia's Cha mm kutaka kudidimiza au kuishi kifahari kwa kuumiza wengine hpnHahah kaka hela haitoshagi ukishapata vyote hivyo utatamani uwe na nyumba za kupanga na uwe na gari nyingine ya kutembelea.
Ajaruhusu ukwepaji Kodi .anweza kuwa amelewaka vibaya na watz wengi hajasema kwamab kula kadri ya uwezo wako ...Kweli kabsaaa Mama kasharuhusu upigaji jamaa analia lia tu
Mkuu hata mimi kama mdau tu hapa,nikiingia duka la muhindi au mchina risiti yangu atanipa kamili Ila mmbongo mwenzangu sihangaiki nae.Sio kuwasingizia Wahindi au Wachina mbona hata maduka ya Wabongo hali ni hiyohiyo.
Sisi huwa tunajifanya Malaika mabaya yote yanafanywa Watu wa Jamii zingine.
Viongozi wako wanaopiga Billions wanaenda kuficha wapi? CRDB? au kwenye SACCOS?Sasa wakwetu wanafanya ila it's better pesa zinabaki haphapa bongo sasa wenzetu. Wanaenda kununua apartment Canada na Singapore
Kwahiyo sisi tuibe ila akiiba Mtanzania mwenye Asili ya Malawi au ya Kihindi inakuwa NONGWA sio?Mk
Mkuu hata mimi kama mdau tu hapa,nikiingia duka la muhindi au mchina risiti yangu atanipa kamili Ila mmbongo mwenzangu sihangaiki nae.
Nchi yetu hii acha tufaidike wenyeji hao weupe siyo wa kutuibia sisi.
Pale pana Fiber Auto Parts na Alpha Auto PartsHao wahindi wameshindiakana na wanafahamika kwa mauzo ya spare za gar kubwa scania howo faw na horse sas duka lipo mkabala na KFC restaurant kwa nyuma Kuna maduka mengi Happ ya spare za scania wamejazana hapo
Kwahiyo tuwasaidie kukwepa kodi sababu zinaliwa huko juu ?Huenda uko sahihi. Laiti angejua ''huko juu'' wanavyozipiga hizo fedha angeenda kwa hao wahindi awe anawasaidia kabisa kuweka doria ili wasikamatwe tena bila malipo. Na mbaya zaidi hata hao wahindi na wachina wakilipa kodi itakiwavyo ''huko juu'' bado hazitapona.
Tuishi humo,mimi kumuachia muhindi pesa yangu ni kama kanikaba ila Mtanzania mwenzangu wewe kula tu huna baya.Kwahiyo sisi tuibe ila akiiba Mtanzania mwenye Asili ya Malawi au ya Kihindi inakuwa NONGWA sio?
Kwa hiyo tunakuwa Wabaguzi hadi kwenye Wizi kuwa nani aibe nani asiibe?🤔
Wewe ulipaswa kuangalia kati ya 180k na 230k ipi inakufaa zaidi, kama unaona kulipa kodi ambayo inaenda kulipa madeni ya wala urojo Zenji trillion 10 kila mwaka ni sawa, basi lipa hiyo 230kKwa hyo mkuu unasemaje niungane na wahindi kulididimiza Zaid
Habari za muda,
Nimeenda Kariakoo kuchukua spare fln ya gari nikafika pale mitaa ya fire nikauliza Bei akasema Bei ya spare hyo Ni 230000 lkn bila risti ataniuzia kwa 180000 mbya Zaid naona wanaongea billa kupepeza macho Wal kuongea kwa chini chini alisema kwa lafudhi ya kihindi " hey rfk hyo nitapatia wee kwa 180000 bila risiti na Kama unataka risiti nitakukatia ya elfu 50 sawaaa alisikika muhindi akiniambia maneno hayo bila kupepeza macho na pale kulikuepo na wateja wengi wamejazana dirishani
Wakt naongea na muhindi nikasika Tena dad ake na huyu muhind akimuambia mteja kifaha unachotaka nitakupa kwa laki tano bila risiti full mbaya Zaid wanaongea kwa saut kubwa sana.
Sas najiuliza mbona tunachezewa hivi na vyombo vipo na mamlaka zipo inamaana hawajuui kinachoendelea kariakoo kweli Kama mmeshindwa kazi kwanini msinipe hyo kazi niweze kuwa identify kila moja na tuwafikishe mahakamani kwa kosa la kuhujumu uchumi.
The same kwa wachina Ni wakwepa Kodi maarufu sna Hapa nnchini na mamlaka zipo na vyomb vipo tutaendelea kuchezewa hadi lini na Hawa wageni?
Imebakia kidg sna nimzabe makofi muhindi yule kwa hasira zangu huku mimi nikilimwa matozo mengi wkt Kuna wapuuzi kadhaa hawalipi Kodi na Wal hawafikishwi mahakamani.
TRA Kama mmeshindwa Kaz bas mtupishe tufanye mmepewa dhamana kusimamia na kukusanya Kodi ila mpo tu mnawaza maposho na Kaz hamafanyi.
Hili taifa ni majanga kwa kweli tunaliwa sna na watu wanaokuja kujifanya wawekezaji.
Wakati wewe unawaza Ngono wao huwa wanakula Pilipili nyingi ili kupunguza hamu ya tendo la Ndoa ili akae Dukani au Kiwandani kutafuta pesa.Tuishi humo,mimi kumuachia muhindi pesa yangu ni kama kanikaba ila Mtanzania mwenzangu wewe kula tu huna baya.
Kweli wee c mzalendo kbsa Ni mwizi uliye tukukaViongozi wako wanaopiga Billions wanaenda kuficha wapi? CRDB? au kwenye SACCOS?
Nenda Abroad ukaone Wabongo wanavyokula Maisha na Shule na Magari wanayoendesha,acha kukariri mambo ya Nyerere na Kamba zake.
Definition ya Mzalendo please?Kweli wee c mzalendo kbsa Ni mwizi uliye tukuka