DOKEZO TRA fanyeni kazi zenu ipasavyo, Wahindi na Wachina wanalichezea taifa hili

DOKEZO TRA fanyeni kazi zenu ipasavyo, Wahindi na Wachina wanalichezea taifa hili

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Na kuna wachina pia wako mikocheni wanajiita Hiview international co ltd,hawa wanauza matairi ya magari ya kichina.na wenyewe ukienda pale kwao wanakuuliza live kabisa kama unataka bei ya risiti au isiyo na risiti.
Mpaka unajiuliza inakuwaje nchi yetu inachezewa na hawa wageni kiasi hiki?
Kmmk yaan napata uchungu mno mkuu hao wako wapi mkuu nienda kucheki taeri ya kubwa hz illa safari hi nitawazingua kuwa naenda kuwashtaki kwa kunipa risit isiyo halali lzm nienda nikawazingue mnk nahitaji taeri kumi za scaniaa 114c -420


Tunaibiwa HV HV na tunaona na vyombo vipo
 
Hao nawajua, hiyo ndiyo michezo yao ya kila siku.kariakoo nzima wanajulikana.huwa tunawaita shamba la bibi.boss wao ni jamaa flani tulikua nae superdoll anaitwa Katambi sijui kama bado yuko nao mpaka leo.
Hao washamba waliingia kiboya kwenye hili soko,tumeishia kuwapiga tu.
 
Hao Wahindi ni Generation ya tano wako hapa na kwa taarifa yako neno "DUKA" tumefundishwa na Wahindi acha chuki zisizoleta tija kwenye Jamii iliyostaarabika.
Wee mjinga kweli ndio unaona Ni sawa kuibwa na wahindi eeh au wanakubandua nn mkuu acha kuwatetea majizi na wezi Kama una maslai nao Seema Ila wambie walipe Kodi saa wanakubackfire waambie walipe Kodi
 
Naweza kudai risti baada ya manunuzi kama ntaona kabisa kwamba hiyo hela inayopatikana inakwenda kupunguza matatizo yangu ama inakwenda kuliwa tu hovyo hovyo na wengine.

Jibu nitakalopata ndilo litanifanya nidai risiti ama niachane nayo ili nipate punguzo. Ukitaka kupata dawa ya hii tatizo unaanzia mbali mno tangu namna viongozi wanavyopatikana ambao wanakwenda kutupangia bajeti baada ya mimi kulipa kodi.

Kama sijaridhika na hilo zoezi basi pia sintaridhika na wapanga bajeti hence sioni haya ya kulipa kodi endapo nitapata mwanya wa kukwepa.
Hpn mkuu uwe na huruma hara kidg na taifa hili himiza ulipaji Kodi na dai risiti halalli
 
Bi Mkubwa yy sio SIMBA wa Yuda, ila ake akijua wafanyabiashara sio wa kucheka nao. Hao TRA wenyewe unaweza ukakuta wa kwenye mkeka wa mgao wa hao wahindi.
 
Wee mjinga kweli ndio unaona Ni sawa kuibwa na wahindi eeh au wanakubandua nn mkuu acha kuwatetea majizi na wezi Kama una maslai nao Seema Ila wambie walipe Kodi saa wanakubackfire waambie walipe Kodi
Kwa hiyo mjadala wetu ndio umefikia huku?
Wewe umezliwa 1977 ni Mtu mzima sana ongea Facts acha kuvunjia Watu heshima zao.
 
Habari za muda,

Nimeenda Kariakoo kuchukua spare fln ya gari nikafika pale mitaa ya fire nikauliza Bei akasema Bei ya spare hyo Ni 230000 lkn bila risti ataniuzia kwa 180000 mbya Zaid naona wanaongea billa kupepeza macho Wal kuongea kwa chini chini alisema kwa lafudhi ya kihindi " hey rfk hyo nitapatia wee kwa 180000 bila risiti na Kama unataka risiti nitakukatia ya elfu 50 sawaaa alisikika muhindi akiniambia maneno hayo bila kupepeza macho na pale kulikuepo na wateja wengi wamejazana dirishani

Wakt naongea na muhindi nikasika Tena dad ake na huyu muhind akimuambia mteja kifaha unachotaka nitakupa kwa laki tano bila risiti full mbaya Zaid wanaongea kwa saut kubwa sana.

Sas najiuliza mbona tunachezewa hivi na vyombo vipo na mamlaka zipo inamaana hawajuui kinachoendelea kariakoo kweli Kama mmeshindwa kazi kwanini msinipe hyo kazi niweze kuwa identify kila moja na tuwafikishe mahakamani kwa kosa la kuhujumu uchumi.

The same kwa wachina Ni wakwepa Kodi maarufu sna Hapa nnchini na mamlaka zipo na vyomb vipo tutaendelea kuchezewa hadi lini na Hawa wageni?

Imebakia kidg sna nimzabe makofi muhindi yule kwa hasira zangu huku mimi nikilimwa matozo mengi wkt Kuna wapuuzi kadhaa hawalipi Kodi na Wal hawafikishwi mahakamani.

TRA Kama mmeshindwa Kaz bas mtupishe tufanye mmepewa dhamana kusimamia na kukusanya Kodi ila mpo tu mnawaza maposho na Kaz hamafanyi.

Hili taifa ni majanga kwa kweli tunaliwa sna na watu wanaokuja kujifanya wawekezaji.
 
Habari za muda,

Nimeenda Kariakoo kuchukua spare fln ya gari nikafika pale mitaa ya fire nikauliza Bei akasema Bei ya spare hyo Ni 230000 lkn bila risti ataniuzia kwa 180000 mbya Zaid naona wanaongea billa kupepeza macho Wal kuongea kwa chini chini alisema kwa lafudhi ya kihindi " hey rfk hyo nitapatia wee kwa 180000 bila risiti na Kama unataka risiti nitakukatia ya elfu 50 sawaaa alisikika muhindi akiniambia maneno hayo bila kupepeza macho na pale kulikuepo na wateja wengi wamejazana dirishani

Wakt naongea na muhindi nikasika Tena dad ake na huyu muhind akimuambia mteja kifaha unachotaka nitakupa kwa laki tano bila risiti full mbaya Zaid wanaongea kwa saut kubwa sana.

Sas najiuliza mbona tunachezewa hivi na vyombo vipo na mamlaka zipo inamaana hawajuui kinachoendelea kariakoo kweli Kama mmeshindwa kazi kwanini msinipe hyo kazi niweze kuwa identify kila moja na tuwafikishe mahakamani kwa kosa la kuhujumu uchumi.

The same kwa wachina Ni wakwepa Kodi maarufu sna Hapa nnchini na mamlaka zipo na vyomb vipo tutaendelea kuchezewa hadi lini na Hawa wageni?

Imebakia kidg sna nimzabe makofi muhindi yule kwa hasira zangu huku mimi nikilimwa matozo mengi wkt Kuna wapuuzi kadhaa hawalipi Kodi na Wal hawafikishwi mahakamani.

TRA Kama mmeshindwa Kaz bas mtupishe tufanye mmepewa dhamana kusimamia na kukusanya Kodi ila mpo tu mnawaza maposho na Kaz hamafanyi.

Hili taifa ni majanga kwa kweli tunaliwa sna na watu wanaokuja kujifanya wawekezaji.
Wazalendo siku hizi tunaitwa Sukuma Gang!
 
Kwa hiyo mjadala wetu ndio umefikia huku?
Wewe umezliwa 1977 ni Mtu mzima sana ongea Facts acha kuvunjia Watu heshima zao.
Huo umri wako hauna maana kama unachochoe ukwepaji kodi na wageni sijapenda broo umeniuudhi sana had kukutolea lugh ya matusi ila niwie radhi ila badilika tulipambanie taifa hili
 
Kmmk yaan napata uchungu mno mkuu hao wako wapi mkuu nienda kucheki taeri ya kubwa hz illa safari hi nitawazingua kuwa naenda kuwashtaki kwa kunipa risit isiyo halali lzm nienda nikawazingue mnk nahitaji taeri kumi za scaniaa 114c -420


Tunaibiwa HV HV na tunaona na vyombo vipo
Wako mikocheni hao,sehemu inaitwa njiapaanda ya kwa mawaziri
 
Habari za muda,

Nimeenda Kariakoo kuchukua spare fln ya gari nikafika pale mitaa ya fire nikauliza Bei akasema Bei ya spare hyo Ni 230000 lkn bila risti ataniuzia kwa 180000 mbya Zaid naona wanaongea billa kupepeza macho Wal kuongea kwa chini chini alisema kwa lafudhi ya kihindi " hey rfk hyo nitapatia wee kwa 180000 bila risiti na Kama unataka risiti nitakukatia ya elfu 50 sawaaa alisikika muhindi akiniambia maneno hayo bila kupepeza macho na pale kulikuepo na wateja wengi wamejazana dirishani

Wakt naongea na muhindi nikasika Tena dad ake na huyu muhind akimuambia mteja kifaha unachotaka nitakupa kwa laki tano bila risiti full mbaya Zaid wanaongea kwa saut kubwa sana.

Sas najiuliza mbona tunachezewa hivi na vyombo vipo na mamlaka zipo inamaana hawajuui kinachoendelea kariakoo kweli Kama mmeshindwa kazi kwanini msinipe hyo kazi niweze kuwa identify kila moja na tuwafikishe mahakamani kwa kosa la kuhujumu uchumi.

The same kwa wachina Ni wakwepa Kodi maarufu sna Hapa nnchini na mamlaka zipo na vyomb vipo tutaendelea kuchezewa hadi lini na Hawa wageni?

Imebakia kidg sna nimzabe makofi muhindi yule kwa hasira zangu huku mimi nikilimwa matozo mengi wkt Kuna wapuuzi kadhaa hawalipi Kodi na Wal hawafikishwi mahakamani.

TRA Kama mmeshindwa Kaz bas mtupishe tufanye mmepewa dhamana kusimamia na kukusanya Kodi ila mpo tu mnawaza maposho na Kaz hamafanyi.

Hili taifa ni majanga kwa kweli tunaliwa sna na watu wanaokuja kujifanya wawekezaji.
Unajifanya unajali wakati walio juu hawaijali hatma ya Tanzania!!!

Jana tumeambiwa wanaleta vichwa mtumba vya treni ya kisasa huku wakisubiri vipya vitakavyo wasili 2023,, kuna haraka gan ya kununua hiyo mitumba kama vipya vitawasili 2023 ? Kama sio upigaji hapo ni nini? Walio juu hawajali ww unajali nn?

Kama waliojuu wamekubali kuwapa ardhi wageni kwa kisingizio cha uwekazaji na kuwafurusha wenye ardhi yao kisa pesa ww unajali nn?

Kuna mambo mengi sana ya kipuuzi yanafanywa na tuliowaamini watuongoze na hawajali, kwann sisi tujali?

Mwisho nisema fanya mambo yako acha umbea
 
Unajifanya unajali wakati walio juu hawaijali hatma ya Tanzania!!!

Jana tumeambiwa wanaleta vichwa mtumba vya treni ya kisasa huku wakisubiri vipya vitakavyo wasili 2023,, kuna haraka gan ya kununua hiyo mitumba kama vipya vitawasili 2023 ? Kama sio upigaji hapo ni nini? Walio juu hawajali ww unajali nn?

Kama waliojuu wamekubali kuwapa ardhi wageni kwa kisingizio cha uwekazaji na kuwafurusha wenye ardhi yao kisa pesa ww unajali nn?

Kuna mambo mengi sana ya kipuuzi yanafanywa na tuliowaamini watuongoze na hawajali, kwann sisi tujali?

Mwisho nisema fanya mambo yako acha umbea
Upo sahihi
 
TRA ndo wametoa hiyo ruhusa ndugu. Siyo kwamba hawajui!
 
Hili taifa bado safari ni ndefu, juzi nimeenda kununua kifaa flani hardware Fulani mitaa ya morogoro basi kwa mbele yangu akawepo mtu mmoja naye alikuwa ameshahudumiwa lakini cha kunishangaza ni kumdai muhindi risiti kwa kumbembeleza anamwambia Nanukuu "Bossa naomba hata risiti ya kutembelea njiani bodaboda asiende kusumbuliwa" Mwisho wa kunukuu. Hao TRA kazi wanayo
 
Habari za muda,

Nimeenda Kariakoo kuchukua spare fln ya gari nikafika pale mitaa ya fire nikauliza Bei akasema Bei ya spare hyo Ni 230000 lkn bila risti ataniuzia kwa 180000 mbya Zaid naona wanaongea billa kupepeza macho Wal kuongea kwa chini chini alisema kwa lafudhi ya kihindi " hey rfk hyo nitapatia wee kwa 180000 bila risiti na Kama unataka risiti nitakukatia ya elfu 50 sawaaa alisikika muhindi akiniambia maneno hayo bila kupepeza macho na pale kulikuepo na wateja wengi wamejazana dirishani

Wakt naongea na muhindi nikasika Tena dad ake na huyu muhind akimuambia mteja kifaha unachotaka nitakupa kwa laki tano bila risiti full mbaya Zaid wanaongea kwa saut kubwa sana.

Sas najiuliza mbona tunachezewa hivi na vyombo vipo na mamlaka zipo inamaana hawajuui kinachoendelea kariakoo kweli Kama mmeshindwa kazi kwanini msinipe hyo kazi niweze kuwa identify kila moja na tuwafikishe mahakamani kwa kosa la kuhujumu uchumi.

The same kwa wachina Ni wakwepa Kodi maarufu sna Hapa nnchini na mamlaka zipo na vyomb vipo tutaendelea kuchezewa hadi lini na Hawa wageni?

Imebakia kidg sna nimzabe makofi muhindi yule kwa hasira zangu huku mimi nikilimwa matozo mengi wkt Kuna wapuuzi kadhaa hawalipi Kodi na Wal hawafikishwi mahakamani.

TRA Kama mmeshindwa Kaz bas mtupishe tufanye mmepewa dhamana kusimamia na kukusanya Kodi ila mpo tu mnawaza maposho na Kaz hamafanyi.

Hili taifa ni majanga kwa kweli tunaliwa sna na watu wanaokuja kujifanya wawekezaji.
Sio Wahindi tuu wanaofanya hayo na jambo hilo sio la TRA bali wazalendo wote..

Nilishauri mara nyingi Sana humu ndani kwamba ni lazima TRA kwa kushirikiana na Serikali iunde kikosi Kazi cha oparesheni za Kodi tena manually kabisaa,hao wafanye Kazi Kwa kushirikiana na Polisi,migambo nk..

Kazi Yao iwe kufanya ukaguzi wa bidhaa zozote zilizonunuliwa kama zina risiti stahiki.Na ikibainika munuzi hajakata risiti mali zake zitaifishwe na kupigwa mnada kufidia Kodi aliyokwepa..

Pili Muuzaji ambae atabainika kuuza bila kutoa risiti au kutoa risiti Kwa bei ya Chini apigwe faini ya kuzidi..Hili likifangika kila mtu atadai risiti na muuzaji kutoa risiti.

Lakini kuwalaumi TRA kwa jambo ambalo wewe mnunuzi hujatimiza wajibu wako sio sawa na hakuna namna hapo TRA watafanya kuzuia haya majadiliano yenu binafsi.
 
TRA ndo wametoa hiyo ruhusa ndugu. Siyo kwamba hawajui!
Wametoa kivip? Wanajua kwamba hivyo ndivyo inafanyika na hata Waziri alisema Bungeni lakini TRA hawawezi kuwepo kila duka,ndio maana mimi naona kuwe TRA na Polisi wawe wanakagua risiti za bidhaa xinazosafirishwa.
 
Back
Top Bottom