TRA, hii imekaaje? Gari ya 2022 na usajili wa miaka ya 2005?

TRA, hii imekaaje? Gari ya 2022 na usajili wa miaka ya 2005?

Ukiona hivyo usilisogelee, kaa mbali, hata traffic akiliona analiacha lipite mbali nae.

Alafu ww shida yako ni maji, umeme, hospitali upate huduma nzuri, shule, barabara nzuri, kuwe na amani na usalama unapoishi, gharama za maisha zisipande sana na huduma nyingine muhimu za jamii, sio unakuwa busy kungalia plate numbers za magari barabarani, ushaingilia mambo ambayo hayakuhusu kabisa, hadi hapo ushaharibu, watakusaka shauri yako.

Mambo mengine ukiona yasiokuhusu achana nayo, piga kimya utaishi vizuri sana duniani.
Acha ushamba.
Tukiona mtu anahujumu nchi tumezee tu alimradi haituhusu moja kwa moja?
Hata kama mnafundishwa hivyo hiyo ni nidhamu ya woga.
 
mkuu achana na izo mambo izo gari ni za usalama hazina plate number maalumu
 
Ukiona hivyo usilisogelee, kaa mbali, hata traffic akiliona analiacha lipite mbali nae.

Alafu ww shida yako ni maji, umeme, hospitali upate huduma nzuri, shule, barabara nzuri, kuwe na amani na usalama unapoishi, gharama za maisha zisipande sana na huduma nyingine muhimu za jamii, sio unakuwa busy kungalia plate numbers za magari barabarani, ushaingilia mambo ambayo hayakuhusu kabisa, hadi hapo ushaharibu, watakusaka shauri yako.

Mambo mengine ukiona yasiokuhusu achana nayo, piga kimya utaishi vizuri sana duniani.
Amekuuliza wewe?? Siyo kila mtu ni kula kulala kama unavyotaka wewe, kuna watu wanachanganya akili zao.
 
Kizazi cha uoga wa mbwa koko, kipindi cha awamu ya kwanza kila raia alikua ni first line of defence wa nchi, kitu kisicho Sawa lazima unawataarifu wahusika, scout mwenzangu pale ilipokua kituo cha station, kwa mbele kulikua na petrol station, 'tourist 'alipotea njia na kumuuliza huyu rafiki yangu njia ya kwenda Kilomanjaro Hotel, rafiki yangu akamwelekeza akaulize lile jumba Jeupe lililo sambamba na kituo cha station, old school humu watalitambua lile jumba!,TISS ili EARN RESPECT kwa raia, hawajawahi kuwa tainted na mateso kwa raia, walikua very smart hawa jamaa
Well said kiongozi..
 
Kizazi cha uoga wa mbwa koko, kipindi cha awamu ya kwanza kila raia alikua ni first line of defence wa nchi, kitu kisicho Sawa lazima unawataarifu wahusika, scout mwenzangu pale ilipokua kituo cha station, kwa mbele kulikua na petrol station, 'tourist 'alipotea njia na kumuuliza huyu rafiki yangu njia ya kwenda Kilomanjaro Hotel, rafiki yangu akamwelekeza akaulize lile jumba Jeupe lililo sambamba na kituo cha station, old school humu watalitambua lile jumba!,TISS ili EARN RESPECT kwa raia, hawajawahi kuwa tainted na mateso kwa raia, walikua very smart hawa jamaa
Ni kweli mkuu.
First line of defence ya nchi hii ni raia wenyewe.
Kama kuna kitu hakipo sawa, wanakuwa wa kwanza kuhoji na kudadisi.
 
Mtoa mada sijui una umri gani na elimu gani...
Mambo hayo magari hata trfk hasogelei..
 
Ukiona hivyo usilisogelee, kaa mbali, hata traffic akiliona analiacha lipite mbali nae.

Alafu ww shida yako ni maji, umeme, hospitali upate huduma nzuri, shule, barabara nzuri, kuwe na amani na usalama unapoishi, gharama za maisha zisipande sana na huduma nyingine muhimu za jamii, sio unakuwa busy kungalia plate numbers za magari barabarani, ushaingilia mambo ambayo hayakuhusu kabisa, hadi hapo ushaharibu, watakusaka shauri yako.

Mambo mengine ukiona yasiokuhusu achana nayo, piga kimya utaishi vizuri sana duniani.
Mandela angewaza kama wewe,angeogopa kuuliwa na wazungu, kuna watu tusingefika bondeni kula bata,
Fanya kitu unachoamini,Kuna watu Wana roho za kiuna mapinduzi,Nyerere,Mandela,kwame nkurumah,kemea maovu popote pale,
Ni bongo tu ambapo kazi ya taasisi ya ujasusi,inaonekana yacajabu,kuogopeka sana,
Huku kwetu taasisi ya ujasusi imejaa vilaza kama zilivyo idara zingine,
Ni upuuzi mtupu umejaa,walikuwa wapi wakati Ndege inaanguka?hata kuona tu,hawakuona,Hawa kazi yao ku tap simu za wakosoaji wa ccm tu.
Hii nchi,unaweza ukaingia Ikulu,bila kuonekana,Kigoma,Kagera,Tunduma zinaweza kushambuliwa na mizinga,Air to ground,na jwatz watakuwa wamelala wanakuna mapumbu na kuwaza posho,mikopo,
 
Back
Top Bottom