Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba kuna mtu hajui?Secret service na cia idara mbili tofauti…
Anyway it’s good pia na hapa V8 zao Zindikwe TISS
Nakubaliana nawe mkuu.gari ya kazi hiyo........tulia mkuu!!
Mkuu sijasema hiyo gari ndo imekua upgraded[emoji23][emoji23][emoji23] umetisha sana Mwamba!!
Kwa hiyo hiyo ilikuwa GX R V8 LC 100 ya 2005 ikawa upgraded to GX R V6 LC 300?
Nieleweshe gari inakuwaje upgraded?Mkuu sijasema hiyo gari ndo imekua upgraded
Nielewe vizuri
Nieleweshe gari inakuwaje upgraded?
Ndio nini? [emoji849]
Azam upholstery Co. ltd
Bei zao zimechangamka lakini
[emoji23][emoji23][emoji23] umetisha sana Mwamba!!
Kwa hiyo hiyo ilikuwa GX R V8 LC 100 ya 2005 ikawa upgraded to GX R V6 LC 300?
Wanashangaza sana hasa bagamoyo road wanakera sana unakuta mpaka mpumbavu m1 ana GX100 sijui VITs vipo kama vichwa vya kuku kafunga taa na king'ora eti umpishe! Mara plate namba nyeusi mara chasses number ni wanakera vibaya mnoNakubaliana nawe mkuu.
Lakini katika kazi za secret service kunatakiwa kuwepo covert operations kwa kutumia hayo magari.
Usiri ni muhimu.
Kwa kutumia hizo number plates you are advertising yourselves, kama kupita mtaani na kuflash kitambulisho.
Mwisho hata advantage ya secrecy inapotea, na inabidi kutumia mabavu.
Sidhani kama mashirika kama MOSSAD, MI6 au CIA wanajitanua barabarani on everyday duties.
Ni maoni yangu tu, I may be wrong!
Hata body haziendaniNimeuliza wamesema hawawezi ku upgrade v8 kuwa LC 300 GxR kwa muonekano wa mwaka 2022. Wao wanaweza badili rangi za nje, kuongeza bampa na interior ya ndani.
V8 old modelView attachment 2411114
V8 model 2022View attachment 2411115
LC 300 nyingi sio V8.Nimeuliza wamesema hawawezi ku upgrade v8 kuwa LC 300 GxR kwa muonekano wa mwaka 2022. Wao wanaweza badili rangi za nje, kuongeza bampa na interior ya ndani.
V8 old modelView attachment 2411114
V8 model 2022View attachment 2411115
Mossad, CIA, MI6 hawafanyi kazi kwenye nchi zao.Nakubaliana nawe mkuu.
Lakini katika kazi za secret service kunatakiwa kuwepo covert operations kwa kutumia hayo magari.
Usiri ni muhimu.
Kwa kutumia hizo number plates you are advertising yourselves, kama kupita mtaani na kuflash kitambulisho.
Mwisho hata advantage ya secrecy inapotea, na inabidi kutumia mabavu.
Sidhani kama mashirika kama MOSSAD, MI6 au CIA wanajitanua barabarani on everyday duties.
Ni maoni yangu tu, I may be wrong!
LC 300 zote ni V6LC 300 nyingi sio V8.
Ni V6
Inatolewa vya nje vya zamani na kufungwa vya new model..Ndio nini? [emoji849]
Sawa, hao ni magwiji wa covert operations.Mossad, CIA, MI6 hawafanyi kazi kwenye nchi zao.
Hawa ops zao nyingi ni kwenye nchi zingine ila wako tied na balozi zao
Ila hao jamaa wanajua honga sana kama wanajua una yatayowafaidisha