TRA, inakuwaje ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari lenyewe?

TRA, inakuwaje ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari lenyewe?

Kuweni wazalendo, nunueni nyumbu nimewahi kuyaona kwenye sherehe gani sijui hayana ushuru wa kuingiza
images.jpeg
 
Kikokotoo kinapata thamani ya gari kwa kuangalia thamani ya gari likiwa jipya na kutoa uchakavu kutoka mwaka lililozalishwa mpaka mwaka wa manunuzi.pia Kwa kuwa kodi ni asilimia ya thamani ya gari wakati wa manunuzi inawezekana manunuzi yako umepàta discount.
 
Back
Top Bottom