TRA, inakuwaje ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari lenyewe?

TRA, inakuwaje ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari lenyewe?

Decision makers wa nchi hii ndo wanafanya maisha yawe magumu kuliko hali halisi.

Magari yakiwa mengi nchini serikali itafaidika maradufu kuliko kukaba kwenye hiyo kodi ya kuagiza tu ambayo imekwamisha watu wengi tu kumiliki magari ya ndoto zao.

Kuna sekta kibao tu zingekua ikiwa pamoja na ajira kuongezeka.
 
Jamaa wanakaba tu wakusanye mapato, eti wanasingizia uchakavu. Umri wa gari hakiwezi kuwa kigezo cha gari kuchakaa. Nina gari ya 2000 niliagiza ikiwa inasoma km. 17,000 na inaonekana mpya kabisa. Lakini unaweza kukuta gari la 2012 limeshatembea km. 300,000 na limechakaa....wanakusanya kodi kubwa kwenye magari ambayo hawatengenezi, ni wazi watakuwa wanamwibia mjapan.
 
Hiko kitu hakipo, ila wewe upo na shida ya uwelewa wa kikotoo cha kodi ya magari. Kikotoo kimewekwa kwenye standardization ambayo kwa kila CIF (cost of insurance and Fright) matokeo yake ya kodi hayawezi kuzidi gharama za manunuzi.

Sasa shida inakuja umepata vipi gari kupewa gari bure, kununua gari mnadani, umenunua gari mkononi kwa mtu. Kwahiyo ikiwa gharama ulizotumia kuipata hyo gari zipo china kutokana na makadilio yaliyowekwa kwenye kikokotoo lazima italeta matokeo ya kodi kua kubwa zaidi ya Gharama za gari.

Note; Sheria ya kodi inasema, kodi inakua calculate kwenye CIF *whichever is higer* kati ya makadilio ya CIF kwenye TRA calculator na gharama halisi za gari hadi inafika port(CIF).

Pia, first method ya calculation za kodi ya forodha zinafanyika kwenye gharama halisi( actual transaction value) ila hii kwenye magari inakua applied endapo utatoa Reasonable evidence kua hiyo gari umeipata kwa hiyo gharama kwasababu makadilio ya gharama yalishafanyika na kupata Tools ya kutafuti kodi( TRA calculator).



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kaangalie Subaru Legacy BM9 ya 2009/2010/2011/2012 uone gari ni $3500-5000 ushuru wake ni 22,000,000-25,000,000 mzee
Niliotaka kuchukua ni $3600 ushuru Tsh 16,000,000
 
Nimetumia kikokotoo cha TRA nimechoka kabisa, ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari yenyewe
State of demand and appropriate task, overfull demand- discarage customers, walisema tuna barabara chache kwahiyo wakiweka ushuru wa chini mtanunua sana magari,
 
Acha tu uwe mkubwa sio kila mtu amiliki gar bhna. Hata hadhi ya kumiliki gar imeanza kupungua. Nashauri ushuru uwe mara 4.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaah
 
Decision makers wa nchi hii ndo wanafanya maisha yawe magumu kuliko uhalisia.

Magari yakiwa mengi nchini serikali itafaidika maradufu kuliko kukaba kwenye hiyo kodi ya kuagiza tu ambayo imekwamisha watu wengi tu kumiliki magari ya ndoto zao.

Kuna sekta kibao tu zingekua ikiwa pamoja na ajira kuongezeka.
Wanasema tuna barabara chache ukilinganisha na magari yanayoagizwa hasahasa dar, mwaka 2005 ilikuwa kila magari kumi yanayopitia bandari ya dar tisa yanabaki dar kwahiyo moja tu ndio linaenda mkoani, ila kilichonishangaza mwaka 2002 afrika ilikuwa na 2% ya magari yote yaliyopo duniani
 
Hiko kitu hakipo, ila wewe upo na shida ya uwelewa wa kikotoo cha kodi ya magari. Kikotoo kimewekwa kwenye standardization ambayo kwa kila CIF (cost of insurance and Fright) matokeo yake ya kodi hayawezi kuzidi gharama za manunuzi.

Sasa shida inakuja umepata vipi gari kupewa gari bure, kununua gari mnadani, umenunua gari mkononi kwa mtu. Kwahiyo ikiwa gharama ulizotumia kuipata hyo gari zipo china kutokana na makadilio yaliyowekwa kwenye kikokotoo lazima italeta matokeo ya kodi kua kubwa zaidi ya Gharama za gari.

Note; Sheria ya kodi inasema, kodi inakua calculate kwenye CIF *whichever is higer* kati ya makadilio ya CIF kwenye TRA calculator na gharama halisi za gari hadi inafika port(CIF).

Pia, first method ya calculation za kodi ya forodha zinafanyika kwenye gharama halisi( actual transaction value) ila hii kwenye magari inakua applied endapo utatoa Reasonable evidence kua hiyo gari umeipata kwa hiyo gharama kwasababu makadilio ya gharama yalishafanyika na kupata Tools ya kutafuti kodi( TRA calculator).



Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo yako yanaturudisha pale pale, ushuru wa gari bongo ni mkubwa mno kuliko gharama ya gari lenyewe.
 
Back
Top Bottom