Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
True wako bize kupambana na wapinzani kuliko kupambana na umasikini hii ni Africa nzima ya weusi.Mara mpinzani kakimbizwa kwa risasi,Mara kabambikwa,nkSerikali za Africa hazipo kusaidia raia bali kuumiza raia