Hapana mkuu nime-generalise kwa mambo mengi na mojawapo ya hili la kodi TanzaniaUnajua serikali zote za Afrika na kodi zao za magari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu nime-generalise kwa mambo mengi na mojawapo ya hili la kodi TanzaniaUnajua serikali zote za Afrika na kodi zao za magari?
Hapo penye appropriation risk etc mara discarage customer risk bila kusahau barabara chache kwaioKweli uwezo wako wa kuelewa ni mdogo wapi nimezungumzia kuharibu barabara?
Kodi ya uchakavu sio inshu tatizo ni calculator na sheria ya kodi, mathalani kodi ya uchakavu inaweza ikalegezwa na viwanda vikapata raw material za nondo kwa gharama ndogo zaidiPole mkuu lakini Kama ilo gari ni miaka ya 1999 lazima iwe ivyo maana Kodi ya uchakavu inclusive
Haihusiani kabisa!Uchakavu mzee baba
ulishawahi jaribu hivyo?Unaweza ku appeal Kama una karatasi halali za ununuzi wa gari. Tax base wanayoitumia tra ndio inafanya Bei kuwa kubwa so Kama Bei ya gari yaani invoice price plus freight Ni ndogo kuliko tax base waliyotumia kwenye kikokotozi unanafasi ya kuappleal
Benktela weng mnapenda babywalkers[emoji41]IST ni size yako mkuu
Kuna bonge la Point uliwahi kusema humu jf 'Pale tra wamejazwa washamba wasiojua magari,wangewekwa watoto wa mjini hapa mjini kungekua na magari ya ukweli'.Hapo penye appropriation risk etc mara discarage customer risk bila kusahau barabara chache kwaio
kodi kubwa ili magari yawe machache barabarani hahaha yani shule kweli umeenda mkuu?
Mkuu huo ndo uhalisia na hilo ndo tatizo lililopo maana haiwezekani Legacy BM9 au VW Jetta ya 2009 ziwe na CIF kubwa maana hawa washamba wakiona muundo wa gari zuri tu wanaweka CIF $9000-11,000, Subaru Forester SG9 au SH9 ushuru 17,000,000 na kuendelea hadi unashangaaKuna bonge la Point uliwahi kusema humu jf 'Pale tra wamejazwa washamba wasiojua magari,wangewekwa watoto wa mjini hapa mjini kungekua na magari ya ukweli'.
Nadhani point yako hio kwangu inabaki ni Valid mpk siku watakapobadili kodi zao za kinyang"anyi kwny magari.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Nimetumia kikokotoo cha TRA nimechoka kabisa, ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari yenyewe
Serikali za Africa hazipo kusaidia raia bali kuumiza raia
bongo kumiliki gari inachukuliwa kama anasaHakuna kiwanda cha magari bongo lkn tozo ya magari imeegemea misingi ya protectionism
at least umesema ukweliState of demand and appropriate task, overfull demand- discarage customers, walisema tuna barabara chache kwahiyo wakiweka ushuru wa chini mtanunua sana magari,
Jeshi libaki kulinda mipaka. Mass production , assembly lines tuachie sekta binafsi.Toleo nadhan ni moja hilo hilo hakunaga new model
Hebu tuwekee hapa hilo gari LA million 15 lenye ushuru wa million 60Gari umelinunua milioni 15 mpaka 20 , ushuru unaambiwa ulipie milioni 60, si ni upumbavu huu!
Upuuzi mkubwa hapo ni sawa umenunua gari tatu wewe ukabaki na moja, hlf mbili ukagawa serikaliniGari umelinunua milioni 15 mpaka 20 , ushuru unaambiwa ulipie milioni 60, si ni upumbavu huu!
Huu ni ujinga wa hali ya juu, gari ya $3500 inatozwa ushuru zaidi ya $13,000Nenda kaangalie Subaru Legacy BM9 ya 2009/2010/2011/2012 uone gari ni $3500-5000 ushuru wake ni 22,000,000-25,000,000 mzee