Pole mkuu lakini Kama ilo gari ni miaka ya 1999 lazima iwe ivyo maana Kodi ya uchakavu inclusiveNimetumia kikokotoo cha TRA nimechoka kabisa, ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari yenyewe
Mkuu ndio umejua leo?Nimetumia kikokotoo cha TRA nimechoka kabisa, ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari yenyewe
Ok sawa ngoja wake wataalamuNi gari ya mwaka 2012
Ndio mjenge sasa ili bei iwe cheeKwani tunaviwanda hapa ndani?
Mkuu hyo kitu ni balaa kwa hiyo haina ushuru?Kuweni wazalendo, nunueni nyumbu nimewahi kuyaona kwenye sherehe gani sijui hayana ushuru wa kuingiza
View attachment 1477424
Unaweza ku appeal Kama una karatasi halali za ununuzi wa gari. Tax base wanayoitumia tra ndio inafanya Bei kuwa kubwa so Kama Bei ya gari yaani invoice price plus freight Ni ndogo kuliko tax base waliyotumia kwenye kikokotozi unanafasi ya kuapplealNi gari ya mwaka 2012
Nenda kaangalie Subaru Legacy BM9 ya 2009/2010/2011/2012 uone gari ni $3500-5000 ushuru wake ni 22,000,000-25,000,000 mzeePole mkuu lakini Kama ilo gari ni miaka ya 1999 lazima iwe ivyo maana Kodi ya uchakavu inclusive