Sasa imagine yule kesi yake imezimwa ila unaona dhahiri jamaa alikuwa anafanya ushenzi live on camera na pale ni Bar. What if ukikutana nae kwenye anga zake za kutekeleza majukumu yake? Utapona kweli.Sema pia wanasema yule jamaa walisema afisa kipenyo wa tukio la masaki aliyempiga mtu na kitako Cha bunduki baaadaye wakasema ni afisa mapato!!! Sasa inakuwa shida kutambua yupiyupi in tinted landcruiser!!!!!
Nimefurahi sana kwa kweli. Tusipangiane cha kufurahia. Waiter naomba Heineken 5 za baridi.View attachment 3170823
=============
Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inasikitika na kutoa pole kwa familia na ndugu na jamaa kutokana na kifo cha mtumishi wetu wa TRA, Bw. AMANI Kamguna Simbayao kilichotokea leo mchana wa tarehe 06 Desemba 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa baada ya tukio la shambolic akiwa katika majikumu yake ya kikazi kwa maslahi ya Taifa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar Es Salaam. Tunatarajia wahusika wote watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Hicho ni kitendo cha polisi kinakuwa ni cha kihuni pia. Huwezi ku prove kuwa hao watu walishiriki tukio zaidi tu utakuwa umewabambikia kesi. Wengine ni wapita njia tu.Waliofanya huo uhuni ndo watajua huwa ni Polisi kweli au Policcm. Watasakwa kila kona na kufikishwa mahakamani. Na wakileta ubishi tutasikia "Marehemu alikuwa akikataa amri halali ya polisi ikabidi zitumike risasi za moto"...
Uliwahi sikia nani mwenye hela chafu bongo anaozea jela? Kama ana kadi ya chama na kibunda hawezi kukaa hata mahabusu.Huyo jamaa wa BMW na gari yale wataozea jela
tunakuja kula ubwabwa na maharagwe wapi yaani wapi msiba upo?!View attachment 3170823
=============
Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inasikitika na kutoa pole kwa familia na ndugu na jamaa kutokana na kifo cha mtumishi wetu wa TRA, Bw. AMANI Kamguna Simbayao kilichotokea leo mchana wa tarehe 06 Desemba 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa baada ya tukio la shambolic akiwa katika majikumu yake ya kikazi kwa maslahi ya Taifa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar Es Salaam. Tunatarajia wahusika wote watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Hao wasiohusika Kwasasa kasongo nangali inawasubirimalipo ya serikali ya Tanzania kutofuata demokrasia, hali iliyopelekea usalama wa taifa kuzorota huku mamlaka nyingi zikiwa kwenye uchawa na kuacha kusisitiza watumishi wa serikali na polisi kufuata sheria za nchi kutekeleza wajibu wao kutokufuata sheria hizi ni uhalifu
KabisaNimesikia huruma sana kwa huyu dogo,kuna kitu kinaniambia kwanini ajali ya wabunge wa ccm waliopata ajali asubuhi hawakuondoka angalao saba kufidia roho ya huyu?
Maana kugonga gonga meza hovyo huku sheria za hovyo zikipitishwa ndiko kulikozusha kifo cha huyu kijana.
Unachotakiwa kuwashauri TRA ni kufuata sheria kwenye utendaji kazi, na kuacha kuvuka taratibu zao za mipaka ya kazi (kwa njaa za maafisa zao) sio kwamba natetea mashambulizi.Wapumbavu wanaua watu wanaojua fika sio watekaji ila watekaji wanawaogopa. Mitanganyika hovyo sana.
Acha ufalaTRA already learn in a hard way.
sasa tunasubiri hawa polisi wanaokuja kichwakichwa
Wasiojulikana wanapo naswa ujitambulusha kama wanaojulikana kwa kutaja mojawapo ya kazi zao serikalini 🤩🤩🤩🤩🤩..... wadanganyika wanadanganyika kijinga sana😇😇😇 wasio julikana wanakazi zaidi ya moja serikalini kuweni makini ..ukitaka kuwajua kuwa ni wao wewe unachotakiwa ni kuangalia tukio lilivyo tendeka ...mfano kuna haja gani kumvamia mtu ambaye siyo jambazi wala mwizi wakati uliweza kumwita tu sehemu husika ....mfano polisi wanamtaka mwanasiasa siwana mwita tu ...kwanini wamkamate kwa kumteka kama majambazi wafanyavyo.View attachment 3170823
=============
Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inasikitika na kutoa pole kwa familia na ndugu na jamaa kutokana na kifo cha mtumishi wetu wa TRA, Bw. AMANI Kamguna Simbayao kilichotokea leo mchana wa tarehe 06 Desemba 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa baada ya tukio la shambolic akiwa katika majikumu yake ya kikazi kwa maslahi ya Taifa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar Es Salaam. Tunatarajia wahusika wote watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Hao ni wananchi wa Ndevu Za Tegeta. Hawa walioshughulikiwa ndo watekaji wenyewe... maana Tizi ni kila sehemu na anaweza kupiga popote kwa utambulisho wowote.Kweli hapo wananchi wamezingua. Mbona wakija watekaji wenyewe tunaufyata?
Ni kukamata tu wowote pumbsvu zaoWahusika kina nani?
Mtu amepigwa na wananchi wenye hasira kali so hapo Tegeta utaenda kumkamata nani useme alimuua afisa mapato?
Nashanga watanzania wanapo pata bahati ya kuwaua hao watu wanajishauri ....hao ni kupiga na kuwalipua moto tu hakuna mazungumzo nao wala mahojiana nao .....kazi safi sana imefanya na hao raia ....jana nilipita sehemu nikasikia polisi anaongea na raia kuwa wanaweza kuja kumkamata huyo muhalifu tatizo ni watu hivyo huyo raia afanye jumuiko na viongozi wa mtaa ili polisi wasije kuingia matatani kwa kuisiwa watekaji ...hii inaonyesha huyo polisi aliogopa kwenda kumkamata mtu kutokana ma serikalini ya samia kuwa na magenge ya kihalifu yanayo ua watu ...wananchi wamesha jilizisha kuwa ni watu wa serikali....tazama wale jamaa wanaodaiwa mabondia waliokamatwa walivyo pewa dhamana kirahisi sana....Sasa imagine yule kesi yake imezimwa ila unaona dhahiri jamaa alikuwa anafanya ushenzi live on camera na pale ni Bar. What if ukikutana nae kwenye anga zake za kutekeleza majukumu yake? Utapona kweli.
WalishamdakaYule mhanga atafute chimbo na BMW yake Mpya,