Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na kupitia incident kama hizi labda watazinduka , asiposikia kilio cha wananchi baada ya hapa hii itakua sikio la kufaNilitaka kufurahia ila nikakumbuka huyo kijana ana ndugu wasio na hatia wanamtegemea.
Waliohusika kina nani?Two wrongs don't make it right. Waliohusika washughulikiwe. Apumzike kwa amani
Boda boda wasionekane hapo kwa usalama waoWahusika kina nani?
Mtu amepigwa na wananchi wenye hasira kali so hapo Tegeta utaenda kumkamata nani useme alimuua afisa mapato?
Aimeen!Polen sana wanafamilia
Mungu ailaze roho ya marehem mahali pema
Wakikujibu njoo uniite 🐕 mtekaji kabsa aseme kitengoHuyo marehemu alikuwa ni kitengo gani hapo tra
Poleni TRA
WasiojulikanaHuyo marehemu alikuwa ni kitengo gani hapo tra
Hata Mafwele ana ndugu wasio na hatia wanamtegemeaNilitaka kufurahia ila nikakumbuka huyo kijana ana ndugu wasio na hatia wanamtegemea.
Kweli hawa ndiyo watakaoangushiwa jumba bovu lakini itakuwa ni kwa mkono wa dhulma maana hapo kila mtu alipiga na siyo wote walioinua mkono kumpiga!Boda boda wasionekane hapo kwa usalama wao
nadhani tutaipa hadhi ya culpable homicide.So hapa case inakuwa nini? Manslaughter?