TANZIA TRA inatangaza kifo cha mtumishi wao, Amani Simbayao kilichotokea leo 06/12/2024

Unakazana kutafuta kodi kwa ajili ya serikali kununua magari ya kifahari ? Vijana jijalini kwanza fanyeni kazi lakini wekeni afya yenu mbele. Na hawa watu hawakuwataarifu polisi wakiogopa mgao utakuwa mdogo watu wakiongezeka
 
Kuprove mahakamani ngumu kama walihusika kweli
 
Poleni sana Wafiwa
 
Kweli hapo wananchi wamezingua. Mbona wakija watekaji wenyewe tunaufyata?
 


Chuki kwa serikali Tanzania imeanza baada ya tekateka na chaguzi za wizi. Haya mambo hayataisha mpaka serikali itende haki
 
Tunahitaji kutumia akili, hekima na busara katika uongozi na utendaji wa siku kwa siku wa shughuli za Uma.
Tudumishe undugu, umoja na mshikamano katika kulijenga taifa letu kwa Amani. Taifa letu litaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…