kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Kama ilivyo kuwa kibao ni story inayo fanana tuNilitaka kufurahia ila nikakumbuka huyo kijana ana ndugu wasio na hatia wanamtegemea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ilivyo kuwa kibao ni story inayo fanana tuNilitaka kufurahia ila nikakumbuka huyo kijana ana ndugu wasio na hatia wanamtegemea.
Hao mbons rahisi ytuu....basi tuu tunajichelewesha wenyeweKwa watekaji hamtoi ushauri hata siku moja kwa kuwa ni watu wenu ndiyo wanaouwa
Dah so sadView attachment 3170823
=============
Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inasikitika na kutoa pole kwa familia na ndugu na jamaa kutokana na kifo cha mtumishi wetu wa TRA, Bw. AMANI Kamguna Simbayao kilichotokea leo mchana wa tarehe 06 Desemba 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa baada ya tukio la shambolic akiwa katika majikumu yake ya kikazi kwa maslahi ya Taifa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar Es Salaam. Tunatarajia wahusika wote watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
PoliCCM hao hapo poneaponea uwe na kadi ya Chama A uwe nayo ndio unaachwaWaliofanya huo uhuni ndo watajua huwa ni Polisi kweli au Policcm. Watasakwa kila kona na kufikishwa mahakamani. Na wakileta ubishi tutasikia "Marehemu alikuwa akikataa amri halali ya polisi ikabidi zitumike risasi za moto"...
Hata Mafwele ana ndugu wasio na hatia wanamtegemea
Wewe una uhakika gani kama ni TRA kweli, can't you read between lines?wao hawakupaswa kumvizia mt kwa stail ya watekaji, watz wangeamin vp kam n TRA? wakt mtaan kunamatukio ya kikatili yanaendlea? polen familia ila nadhan watz tmeanz kuamka sasa
Dah kumbe msuaso.R.I.P bro maana kuingia TRA ni kaziI see, namfahamu huyu kijana ..alipita SUA Morogoro..baadae nikawa namuona na magari ya maji ya Kilimanjaro..nadhani alikuwa upande wa Sales.tukapotezana kipindi..dah alikuwa mtu mstaarabu na mpiganaji.. Lala salama Simbayaooo! ..tutaonana asubuhi iliyo njema
I wish utekwe wewe.
Ili uje hapa uwatete. Konyo.
Wanaweza wakachukua hatua Kali ili wengine waogope.One should perish for the benefit of the majority.hapa wasiojulikana wataogopa sasa
Tunaanza 0-0
Siwezi kutoa pole
Hii ni kusudi tu
Watekaji wanajulikana ila wakija kila mtu anaufyata mfano yule Bonge alipiga kelele hakuna aliyejitokeza, kwa kibao hakuna aliejitokeza
Kwa Nondo tena kweupe kabisa hakuna aliethubutu hata kufungua mdomo
Leo hii mnajua kabisa hawa ni tra mnaamua kuwakomesha
Sasa rungu liwafikie wote waliohusika
Maana wanaokuja na bangili mkiwaona mnakaa kimya, hawa tofauti mnajifanya vifua mbele
Shenz type
Usilolijua kaka kama ucku wa giza unaeza kuta walifos walitaka ela jamaa akaamua kuwatia kiberitKwanza kuzuwia na kushambulia wafanyakazi wa taasisi za serikali ili wasifanye kazi zao ni makosa makubwa sana. Waliotenda kosa hilo mpaka wakasababisha kifo cha mfanyakazi huyo wasakwe popote walipo na wafikishwe mahakamani kujibu mashitaka ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizo
I see, namfahamu huyu kijana ..alipita SUA Morogoro..baadae nikawa namuona na magari ya maji ya Kilimanjaro..nadhani alikuwa upande wa Sales.tukapotezana kipindi..dah alikuwa mtu mstaarabu na mpiganaji.. Lala salama Simbayaooo! ..tutaonana asubuhi iliyo njema
Wasuaso wameanza kuharibu uzi.Dah kumbe msuaso.R.I.P bro maana kuingia TRA ni kazi
purukushani na hao wafanyakazi wa taasisi za umma kama polisi, takukuru na tra bila kuawaacha wale wa maliasili, usipoelewana nao vema vurugu hutokea. All in all hao wafanyakazi ni wa kuogopwa hata kama wanafanya corrupt, huwezi kushindana nao kibabe, wale ni kuwaripoti kwa mamlaka za juu yao kama wanafanya corruptUsilolijua kaka kama ucku wa giza unaeza kuta walifos walitaka ela jamaa akaamua kuwatia kiberit