- Thread starter
- #201
Kwahiyo maendeleo ya watu hupimwa Kwa Wing wa magari?
Kodi ya magari ni sehemu ya kodi za kipumbavu za bidhaa zilivo kubwa ambazo hupachikwa na viongozi wajinga wenye mawazo ya kipumbavu ambao hawamsaidia mtanzania bali kumdidimiza kila wakati