DOKEZO TRA, kodi za kuingiza Magari ni kichefuchefu kwa Wananchi

DOKEZO TRA, kodi za kuingiza Magari ni kichefuchefu kwa Wananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Umeanza vizuri umemaliza vibaya,
Nikukumbushe tu tozo alianza kutuwekea magufuli sh 100 kwa kila lita 1 ya mafuta ya taa, disel na petrol na na baadae ikawa 200, unanunua mafuta ya taa kwa ajili ya kujimulikia na familia yako lkn unamlipia na kodi mwenye gari, hii ndio ilitakiwa kukemea vikali sana lkn kwa kua kuna watu waliamini magu hua hakosei na hana baya ikitokea kakosea au kafanya baya unarudi kwenye kanuni ileile kua magu hua hakosei ndio maana hamkupiga kelele kuhusu hii tozo, wenye magari halipii tena kodi gari yake ila wamemuwekea kwenye mafuta ila tunasahau mafuta sio kwa ajili ya magari tu....

Kwa kua hamkuona baya kwa magu nami naungana na mama kua anaendelea alipoishia magu na kudumisha alivyovianzisha na kuviboresha ikiwa na pamoja na tozo. Ila tuwe wapole tu

Kuhusu kodi za magari wengi humu hawana uelewa, mtu unaagiza gari ya mwaka 2013 now tupo 2022 na ilishatumika ina km laki na ushee huko yaani tunaleta skrepa huku kwetu afu watuwekee kodi ndogo? Hata watoto wetu wa o level wangeenda shule kila mmoja na gari yake, ile kodi ya uchakavu ndio hua ni kubwa nenda kaagize gari mpya kabisaaa uone kodi zake zipoje ndio urudi hapa kuja kuilaumu serikali.

Hivi mshajiuliza gari umeitumia miaka 10 na ushee afu unamuuzia mtu hiyo itakua gari au skrepa?
Pumba tuuu, nimenunua gari limetembea 150,000 km 7 years ago na mpaka leo sijawahi kugusa engine.. Sana sana nabadili engine oil, filter, brake shoes, matairi etc... Juzi juzi jamaa gari yake ilipiga short na kuwaka moto na yote kuteketea... Yaani ndani ya masaa 2 yote imeuzwa scraper na hakuna kilichobaki... Narudia uwezo wa kubuni kodi mbadala hawana na wameshindwa... Tukete tax consultant kutoka hukooo kwa wenzetu waliofanikiwa...
 
Umeanza vizuri umemaliza vibaya,
Nikukumbushe tu tozo alianza kutuwekea magufuli sh 100 kwa kila lita 1 ya mafuta ya taa, disel na petrol na na baadae ikawa 200, unanunua mafuta ya taa kwa ajili ya kujimulikia na familia yako lkn unamlipia na kodi mwenye gari, hii ndio ilitakiwa kukemea vikali sana lkn kwa kua kuna watu waliamini magu hua hakosei na hana baya ikitokea kakosea au kafanya baya unarudi kwenye kanuni ileile kua magu hua hakosei ndio maana hamkupiga kelele kuhusu hii tozo, wenye magari halipii tena kodi gari yake ila wamemuwekea kwenye mafuta ila tunasahau mafuta sio kwa ajili ya magari tu....

Kwa kua hamkuona baya kwa magu nami naungana na mama kua anaendelea alipoishia magu na kudumisha alivyovianzisha na kuviboresha ikiwa na pamoja na tozo. Ila tuwe wapole tu

Kuhusu kodi za magari wengi humu hawana uelewa, mtu unaagiza gari ya mwaka 2013 now tupo 2022 na ilishatumika ina km laki na ushee huko yaani tunaleta skrepa huku kwetu afu watuwekee kodi ndogo? Hata watoto wetu wa o level wangeenda shule kila mmoja na gari yake, ile kodi ya uchakavu ndio hua ni kubwa nenda kaagize gari mpya kabisaaa uone kodi zake zipoje ndio urudi hapa kuja kuilaumu serikali.

Hivi mshajiuliza gari umeitumia miaka 10 na ushee afu unamuuzia mtu hiyo itakua gari au skrepa?
Wewe umeanza vibaya Ila umemaliza vizuri mno.
Jikite na maada inayohusika mengine ya tozo Ni kibwagizo Kama hujanisoma
 
Narudia tena, hii hoja ni kindezi sana.. Watanzania milioni 60 wanaishi huko Dar au mijini?? Ukubwa wa hii nchi ni zaidi ya hekta milioni 95... Zaidi ya watanzania 90% wanaishi vijijini huko Likawage, Nanjirinji, Nakapanya, Nanyumbu, Ikubulu, Lubalisi, Lunenzi, Chabima, Mwese, Lwega na kwingineko. Je wao huko vijijini hawana haki ya kumiliki magari?? Maendeleo ni pamoja na kaya nyingi kumiliki gari kwa maendeleo yao, gari ni kitendea kazi na siyo anasa... acha ulofa jombaaa
Kwahiyo maendeleo ya watu hupimwa Kwa Wing wa magari?
 
Pana dogo mmoja Mzambia akitaka gari nzuri ananiuliza alianza na Cayyene,akaja Paramela,Evoque,Mercedes yatch back sasa hivi yupo na autobiograph range rover ya 2020 ana duka la hardware hapo Lusaka akitumia akilichoka miezi kadhaa analiweka sokoni anaongeza hela au ikiwa sawa ananunua gari zuri zaidi alishangaa nilipopita Lusaka na gari ya 2014 mwaka 2020 namwambia ndio yangu ya kutumia tena nilimwambia nimejitahidi sana maana kodi zetu sio rafiki akawa anasikitika tuu..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Angeona la kwangu la mwaka 2000 ndo angezimia...
 
Poverty Minded leaders kama wewe hamkosekani.

Unaongelea pikipiki kwa nchi ndogo kama mkoa wa tanga?

Kuna nchi kubwa sana, usafiri wa gari ni muhimu hata hizo pikipiki ni anasa tu.

Unaweza tumia pikipiki toka dar kwenda morogoro achilia mbali kufika iringa, mbeya, mwanza n.k?

Usiwe mjinga kama viongozi wako, watu wakiwa na magari mengi, multiplier effects ni kubwa kuliko kuwa na magari machache.

Wape nafasi wananchi wawe na uhuru wa kufanya watakayo mradi hawavunji sheria.
Well said [emoji120] [emoji120]
 
mbona miaka ya 80,90 wabongo walikuwa wananunua magari brand new.....gari linakuja unachana mwenyewe manylon ndani
Gari unakuta ina kitabu (menu)
Ndani nk
Ina maana wanunuz wa brand new magari walikuwa ni wachache,mpaka zilipoanza kuja used ndiyo wary waliweza nunua magari

Ova
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Angeona la kwangu la mwaka 2000 ndo angezimia...
Unajua alipoona akiniagiza gari namnunulia zuri na miaka ya karibuni wala siumizi kichwa kuangalia mwaka kule mnadani maana bei hayajatofautiana sana kwa gari za Zambia ila Tanzania kabla hujanunua unaanza na kikokoteo cha TRA kwanza na punguzo kama lipo ili ununue wao wananunua tuu na Congo drc hata hizo CC hawazijui..
 
Kuhusu kodi za magari wengi humu hawana uelewa, mtu unaagiza gari ya mwaka 2013 now tupo 2022 na ilishatumika ina km laki na ushee huko yaani tunaleta skrepa huku kwetu afu watuwekee kodi ndogo? Hata watoto wetu wa o level wangeenda shule kila mmoja na gari yake, ile kodi ya uchakavu ndio hua ni kubwa nenda kaagize gari mpya kabisaaa uone kodi zake zipoje ndio urudi hapa kuja kuilaumu serikali.

Hivi mshajiuliza gari umeitumia miaka 10 na ushee afu unamuuzia mtu hiyo itakua gari au skrepa?
Wewe ndio dhahiri huna uelewa na unachokiongea.
 
mbona miaka ya 80,90 wabongo walikuwa wananunua magari brand new.....gari linakuja unachana mwenyewe manylon ndani
Gari unakuta ina kitabu (menu)
Ndani nk
Ina maana wanunuz wa brand new magari walikuwa ni wachache,mpaka zilipoanza kuja used ndiyo wary waliweza nunua magari

Ova

Ubunifu zero wa viongozi, maisha yanatakiwa kua rahisi na sio kufanya ugumu wa maisha
 
Kila Kitu kwa Tz kipo juu,ni kama wanashindana kupata faida n'a wenye viwanda
Msiseme magari tu hâta mashine ndogo ndogo mfano za kuponda kokoto,kusaga,kukamua alizeti etc agiza nje uone Bei yake uone tra wanavyokufanya

Bandari mali yetu, nchi iko kwenye geografia nzuri lakini hatunufaiki na kwa kifupi hadi majirani hutushangaa kwa nini hatuko mbele yao kiuchumi wakati tuna kila kitu,
 
Kwa barabara za kulipia tu serikali ingeweza ingiza zaidi ya bil 100 kwa mwaka...
Maana yake ndani ya miaka 10 inakuwa ishajilipa
Sioni sababu ya kutumia masaa 14 kufika Tunduma, wakati barabara zikiwa sawa, unaweza tumia masaa 10 tu.

Umeokoa mafuta
Vifo
Muda
Ajali

Hadi wajenge njia sita kwenye highway zetu itakua hatupo maana upanuzi wa barabara tu kwao ni anasa
 
Unajua alipoona akiniagiza gari namnunulia zuri na miaka ya karibuni wala siumizi kichwa kuangalia mwaka kule mnadani maana bei hayajatofautiana sana kwa gari za Zambia ila Tanzania kabla hujanunua unaanza na kikokoteo cha TRA kwanza na punguzo kama lipo ili ununue wao wananunua tuu na Congo drc hata hizo CC hawazijui..

Na ndio maana matajiri nchi za wenzetu wanakua vijana wadogo kwa sababu kimsingi mazingira yanawasaidia sana kufika mbali tofauti na sisi fikiria hujaanza biashara na hujapata faida eti unakadiriwa kodi ya hiyo biashara wakati kimsingi kodi inatakiwa ikatwe kwenye faida na sio mtaji
 
Narudia tena, hii hoja ni kindezi sana.. Watanzania milioni 60 wanaishi huko Dar au mijini?? Ukubwa wa hii nchi ni zaidi ya hekta milioni 95... Zaidi ya watanzania 90% wanaishi vijijini huko Likawage, Nanjirinji, Nakapanya, Nanyumbu, Ikubulu, Lubalisi, Lunenzi, Chabima, Mwese, Lwega na kwingineko. Je wao huko vijijini hawana haki ya kumiliki magari?? Maendeleo ni pamoja na kaya nyingi kumiliki gari kwa maendeleo yao, gari ni kitendea kazi na siyo anasa... acha ulofa jombaaa

Mtu anawaza Tanzania kwa jicho la Dar wakati kuna watanzania wako maji moto, wana uwezo wa kununua magari kodi ikiwa himilivu na magari hayo yakawasaidia kukuza uchumi wao
 
Back
Top Bottom