Kwahiyo maendeleo ya watu hupimwa Kwa Wing wa magari?
Ukipita mitaa ya Livingstone na Lindi Kariakoo utaumia jinsi wa Kongo wanavyopaki benz za kibabe zenye usajili wa kongo
Kujenga nchi lazima upate maumivu makaliKodi ya magari ni sehemu ya kodi za kipumbavu za bidhaa zilivo kubwa ambazo hupachikwa na viongozi wajinga wenye mawazo ya kipumbavu ambao hawamsaidia mtanzania bali kumdidimiza kila wakati
Kabisa,wazambia wanatumia magari mazuri kuliko sisiBandari mali yetu, nchi iko kwenye geografia nzuri lakini hatunufaiki na kwa kifupi hadi majirani hutushangaa kwa nini hatuko mbele yao kiuchumi wakati tuna kila kitu,
Yaani hilo langu la 2002 huko Lusaka si nitaonekana kituko mimi, hivi nyie TRA mbona hivyo lakini, gari ni kitendea kazi cha kuinua uchumi wa taifa letu, sio anasa!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Angeona la kwangu la mwaka 2000 ndo angezimia...
Hawajui kwamba gari zikiwa nyingi them ile multiplier effect ya kutumia mafuta mengi zaidi, shughuli nyingi zaidi za kiuchumi nk. nk zitawawezeshabkukusanya kodi kubwa zaidi ya hiyo wanayoitaka na kukuza uchumi kwa kasi zaidi, hivyo wataweza kuongeza idadi na ubora wa barabara zilizopo, ni akili ndogo tuUbunifu zero wa viongozi, maisha yanatakiwa kua rahisi na sio kufanya ugumu wa maisha
Hata wakisoma watapuuza!Mbaya zaidi hata hili andiko hawatalisoma kwa sababu magari yao sisi walalahoi ndio huwanunulia kwa kodi zetu.
Sikupinga kwa kua nna uwezo wa kununua jipya, nna gari ya mwaka 2001 nna miaka 12 hadi sasa hivi nipo nayo na sijabadili injini pia, lkn ukweli unabaki tunanunua gari zilizotumika sanaaa, km 150000 sio mchezo mkuu.Pumba tuuu, nimenunua gari limetembea 150,000 km 7 years ago na mpaka leo sijawahi kugusa engine.. Sana sana nabadili engine oil, filter, brake shoes, matairi etc... Juzi juzi jamaa gari yake ilipiga short na kuwaka moto na yote kuteketea... Yaani ndani ya masaa 2 yote imeuzwa scraper na hakuna kilichobaki... Narudia uwezo wa kubuni kodi mbadala hawana na wameshindwa... Tukete tax consultant kutoka hukooo kwa wenzetu waliofanikiwa...
Serikali isiojali mudaKwa barabara za kulipia tu serikali ingeweza ingiza zaidi ya bil 100 kwa mwaka...
Maana yake ndani ya miaka 10 inakuwa ishajilipa
Sioni sababu ya kutumia masaa 14 kufika Tunduma, wakati barabara zikiwa sawa, unaweza tumia masaa 10 tu.
Umeokoa mafuta
Vifo
Muda
Ajali
Hawajui kwamba gari zikiwa nyingi them ile multiplier effect ya kutumia mafuta mengi zaidi, shughuli nyingi zaidi za kiuchumi nk. nk zitawawezeshabkukusanya kodi kubwa zaidi ya hiyo wanayoitaka na kukuza uchumi kwa kasi zaidi, hivyo wataweza kuongeza idadi na ubora wa barabara zilizopo, ni akili ndogo tu
Kuagiza magari machakavu yanatesa sana kilasiku kwa fundi unapoteza pesa kwenye spea in fact nchi inageuka kijiwe cha wahunzi inaleta shida sana hebu hili nalo wabunge waliangalie tumechoka kuwa wahunzi wajameni .Narudia kuandika tena,
Ifikie hatua muwe waelewa huwezi kujifanya una calculator ya kodi kwenye magari ambapo kodi yenyewe unatoza asilimia 80% hadi 100% ya manunuzi hii sio sawa.
Kwa mikodi yenu mikubwa ndio maana hamuwezi mkawa na walipa kodi wengi.
Mkumbuke kodi kubwa inawafanya kuathiri biashara ya mafuta kwa ujumla, biashara ya vipuri.
Hakuna sababu ya kodi asilimia 80 hadi 100 wakati ndani ya nchi hatuna uzalishaji wa magari au viwanda vya magari hakuna na kodi inakua ya kuumiza sio sawa.
Kweli mtanzania anunue gari dola 5000 kodi apigwe dola 4000 hadi 5000 halafu mtakuja na formular zenu za ajabu ajabu aibu sana hii.
Uchumi hauwezi ukakua kwa mtindo huo muelewe magari ni kifaa au chombo kinachorahisisha kuinua uchumi kwa namna moja au nyingine.
* Bandari Kuwepo Tanzania haimsaidii nafuu ya maisha mtanzania, kila bidhaa iko juu viongozi sio wabunifu wapo wapo tu.
Exactly [emoji1666] [emoji1666] mkuuuMtu anawaza Tanzania kwa jicho la Dar wakati kuna watanzania wako maji moto, wana uwezo wa kununua magari kodi ikiwa himilivu na magari hayo yakawasaidia kukuza uchumi wao
Kama ndio hivyo, wengi tunatia huruma hapa bongoNikiwa Nairobi nilikaza macho sana sikuona Noah ist carina sijui Masienta porte sijui midude gani michakavu ni ndinga za maana tu ziko barabarani kama hujaenda nchi za jirani congo drc hasa lubumbashi Lusaka Nairobi huwezi jua kinachoendelea kifupi bongo ukiacha maviete ya govt gari nyingine ni mikweche tu kwa hili usiniambie sina uzalendo unaendesha gari ya 2002 kweli huzuni sana
Nunua gari mpya ufurahie unafuu wa kodiHii nchi yetu vitu vingi unaweza kudhani vinafanyika kwa lengo la kutukomoa kabisa
Yaani kuingiza gari hapa kwetu ni kama kufanya anasa kabisa na sio usafiri
Ukiandaa 10M kuagiza kigali basi uandae 10M ya kodi, kama vile hatuna bandari yetu
Tumekuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe
wajanja wanavusha hadi Zambia kabla haijawa registered inarudi tena Dar like imetumika Zambia. u save kama 50-100% ya ushuru ambao ungelipa hapa kwa TRA. hii yote kwa sababu wanaamini kodi kubwa ndo suruhu ili hali kodi kubwa ndo inaleta mianya ya kukwepa kodi!!Bandari Kuwepo Tanzania haimsaidii nafuu ya maisha mtanzania, kila bidhaa iko juu viongozi sio wabunifu wapo wapo tu.
Kuna unafuu gani wa kodi kwenye gari mpya?Nunua gari mpya ufurahie unafuu wa kodi
Endeleeni kushangaa hapo juu, hawakawii kuja na nyingine itapewa jina la 'TOZO' kwa gari hilohilo!Import duty
Excise duty
Excise duty due to age
VAT
Etc etc