salthanks
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 3,284
- 6,854
Fikra ya kilimo nakuunga mkono..TRA wanataka kuwakamua mpaka wanyongekama viwanda wameshindwa wanavyodai awamu ya 5 ni ya viwanda basi tz ina eneo kubwa sana waanzishe kilimo cha kitaalamu hapo nina uhakika pesa itaingia lukuki
nitakuunga mkono pale utakapoacha chuki, ubaguzi na visasi
Sent using Jamii Forums mobile app