No SQL
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 7,063
- 12,563
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aige na utawala bora sio mambo ya kodi.Kodi kama hizi zipo sana kwenye baadhi ya nchi huko ughaibuni.
kodi sawa kwa maendeleo ya nchi, lakini ni ngumu kutengeneza wananchi wazalendo kwa kuwakata kodi 15%, hii lazima itakuwa kero. Hakuna maneno yoyote mazuri utakayompa mtu unayemkata 15% akakakuelewa. Hapa lazima nguvu itatumika kupata kodi hiyo. Hakutakuwa na uhiari wa kutoa kwa sababu 15% ni kubwa sana. Serikali kupitia mamlaka zake itujengee moyo wa kupenda kutoa kodi kwa hiari, furaha na moyo wa kupenda, na hii inahitaji pamoja na kauli nzuri za kutia moyo toka kwa watendaji wa serikali, itozwe kodi kiasi ambacho hakitamuumiza mlipaji. Let say kodi ni 1%, haitahitaji nguvu nyingi kuipata, wahusika watahitaji kukumbushwa tu na wengi watatoa. Naamini itapatikana pesa nyingi kuliko hiyo 15% ambayo kuipata mpaka mtu aingie kwenye 18 za serikali.Uongozi wa juu wa TRA huko katika hatua za mwisho kuanza mchakato wa ukusanyaji maoni juu aina mpya ya kodi itakayoanza kutumika mapema mwakani.
Kodi hiyo mpya itakuwa inawataka wanufaika wote wa urithi kulipa kodi ya asilimia 15, pamoja na hilo TRA pia hiko kwenye mchakato mwingine kama huo ambao hutawaka pia watu wote wanaopokea zawadi zinazozidi thamani ya mil tano(mil 5) pia kulipa kodi ya asilimia 15 ya thamani ya zawadi hiyo.
Bila shaka hili litakuwa pigo linguine kwa vibopa wanaohonga bongo movies magari maana itawabidi kuongeza asilimia 15 ya serikali juu yake.
Nini maoni yako?
Ndio ndugu yangu. Mfano mmoja wa nchi hizo ni Uingereza.Kuna nchi yoyote inayokusanya kodi kama hizo?
Pamoja na wingi wa kodi lakini pia wabuni namna ya kumfanya mtu alipe kodi kwa hiari. Mojawapo ya njia hizo ni tax credit zinazotoa upendeleo kwa walipa kodi kwenye baadhi ya huduma na kuwapunguzia privilege wasiolipa kwa maksudi.
Waliweka matumaini makubwa kwenye chenji ya makinikia sasa tumaini hilo halipo tena.Mmeniacha !! Kwani mshahara si unakatwa kodi ? Sasa iweje nilichokusanya kwa miaka yote hiyo bado pia wachukue kodi ?? Kweli tumeishiwa mawazo, rasilimali kibao hatujui zitumia sasa tunaanza kunyonya mile kidogo tulichobarikiwa..!! Mi nafikiri wajielekeze sana kwenye hizi rasilimali za nchi maana ndio zenye fungu kubwa la mapato !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu lile jiziiii lina roho mbaya mpaka kwa familia yakeHivi huyu jamaa ana nini na familia yake maana sijawahi sikia mke wake au watoto wake wakihusishwa na kashfa zake zaidi ya watoto wa ndugu zake. hata ile nafasi ya yule bint kuingia UDOM ki utata utata inaonyesha ilikua initiative na strugle za mama au bint mwenyewe au haikubali kuwa ni familia yake
Inheritance ni income pia....it should be taxed....Uongozi wa juu wa TRA huko katika hatua za mwisho kuanza mchakato wa ukusanyaji maoni juu aina mpya ya kodi itakayoanza kutumika mapema mwakani.
Kodi hiyo mpya itakuwa inawataka wanufaika wote wa urithi kulipa kodi ya asilimia 15, pamoja na hilo TRA pia hiko kwenye mchakato mwingine kama huo ambao hutawaka pia watu wote wanaopokea zawadi zinazozidi thamani ya mil tano(mil 5) pia kulipa kodi ya asilimia 15 ya thamani ya zawadi hiyo.
Bila shaka hili litakuwa pigo linguine kwa vibopa wanaohonga bongo movies magari maana itawabidi kuongeza asilimia 15 ya serikali juu yake.
Nini maoni yako?
Nchi zenye maendeleo zina kodi nyingi sana. Maendeleo yana kuja kama kila mtu yupo tayari kulipa kodi kwa shughuli yoyote [emoji562]Kodi kama hizi zipo sana kwenye baadhi ya nchi huko ughaibuni.
Hawa wahongaji wa Bongo Movie mbona hawapo siku hizi,hujamsikia Sepetunga juzi akilalamika kuwa maisha yamekuwa magumu sana inabidi wabuni mbinu mbadala za kujiingizia mapato...Uongozi wa juu wa TRA huko katika hatua za mwisho kuanza mchakato wa ukusanyaji maoni juu aina mpya ya kodi itakayoanza kutumika mapema mwakani.
Kodi hiyo mpya itakuwa inawataka wanufaika wote wa urithi kulipa kodi ya asilimia 15, pamoja na hilo TRA pia hiko kwenye mchakato mwingine kama huo ambao hutawaka pia watu wote wanaopokea zawadi zinazozidi thamani ya mil tano(mil 5) pia kulipa kodi ya asilimia 15 ya thamani ya zawadi hiyo.
Bila shaka hili litakuwa pigo linguine kwa vibopa wanaohonga bongo movies magari maana itawabidi kuongeza asilimia 15 ya serikali juu yake.
Nini maoni yako?
Atimae imegeuka na nchi ya wapigwa kodi.Walituambia nchi itakuwa ya viwanda, sasa tunakamuliwa wapiga kura.