gezzle
Senior Member
- Dec 23, 2016
- 128
- 88
Muda c mrefu kodi ya kichwa NA matiti zitarudi..
Ni ile ile,tunaisoma namba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ile ile,tunaisoma namba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maoni yangu tutakutana 2020 basiUongozi wa juu wa TRA huko katika hatua za mwisho kuanza mchakato wa ukusanyaji maoni juu aina mpya ya kodi itakayoanza kutumika mapema mwakani.
Kodi hiyo mpya itakuwa inawataka wanufaika wote wa urithi kulipa kodi ya asilimia 15, pamoja na hilo TRA pia hiko kwenye mchakato mwingine kama huo ambao hutawaka pia watu wote wanaopokea zawadi zinazozidi thamani ya mil tano(mil 5) pia kulipa kodi ya asilimia 15 ya thamani ya zawadi hiyo.
Bila shaka hili litakuwa pigo linguine kwa vibopa wanaohonga bongo movies magari maana itawabidi kuongeza asilimia 15 ya serikali juu yake.
Nini maoni yako?
Waje tu hata na "marriage tax" yaani ukifunga ndoa unalipa kodi, au "birth tax" ambayo unalipa pale unapozaa mtoto! Vyanzo vya mapato ni vingiUongozi wa juu wa TRA huko katika hatua za mwisho kuanza mchakato wa ukusanyaji maoni juu aina mpya ya kodi itakayoanza kutumika mapema mwakani.
Kodi hiyo mpya itakuwa inawataka wanufaika wote wa urithi kulipa kodi ya asilimia 15, pamoja na hilo TRA pia hiko kwenye mchakato mwingine kama huo ambao hutawaka pia watu wote wanaopokea zawadi zinazozidi thamani ya mil tano(mil 5) pia kulipa kodi ya asilimia 15 ya thamani ya zawadi hiyo.
Bila shaka hili litakuwa pigo linguine kwa vibopa wanaohonga bongo movies magari maana itawabidi kuongeza asilimia 15 ya serikali juu yake.
Nini maoni yako?
punguza ukali wa lughaKodi zote hizoooo ni jiziiii moja linakusanya ili liende nazo chatto likazitumbue na watoto wa Dada zake
Hii sheria mbona hipo miaka mingi tuu sana sana wahindi ndio walikuwa wanalipa kutokana na kuwa na makampuni yaliyo sajiliwa .mtoto akirithi anatozwa hiyo Kodi.hivyo tuseme Tra wameamua kuifanyia kazi kwa watanzania wote ataa kwa urithi Wa Mlalahoyi .mjane au mtoto ukirithi kibanda cha milioni 5 unadaiwa laki saba na nusu na Tra .Dduuhh Baba huyu hakika amezaliwa mlango Wa kutia hasara .hakuna rangi tutaacha kuona !!!Uongozi wa juu wa TRA huko katika hatua za mwisho kuanza mchakato wa ukusanyaji maoni juu aina mpya ya kodi itakayoanza kutumika mapema mwakani.
Kodi hiyo mpya itakuwa inawataka wanufaika wote wa urithi kulipa kodi ya asilimia 15, pamoja na hilo TRA pia hiko kwenye mchakato mwingine kama huo ambao hutawaka pia watu wote wanaopokea zawadi zinazozidi thamani ya mil tano(mil 5) pia kulipa kodi ya asilimia 15 ya thamani ya zawadi hiyo.
Bila shaka hili litakuwa pigo linguine kwa vibopa wanaohonga bongo movies magari maana itawabidi kuongeza asilimia 15 ya serikali juu yake.
Nini maoni yako?
Nakuunga mkono tusipende kukopi kila kitu maana wenzetu wanazo hizo kodi lakini pia kuna child credit wana kusanya na wanazitumia. Tukifanya hivyo ni sawa. Hizo kodi kwa wenzetu hazi waathiri wako happy kulipa. Kwa mfano wewe mwenye income kubwa unakatwa kodi kubwa na kuna mtu hakatwi Bali anaongezewa kwenye income yake kuna working tax credit children tax credit kwa wenye watoto ambao income yao inaonekana haitoshi haya ndiyo matuminzi ya kodi siyo kumkomesha raia.tukopi tukopi tunavyoviweza,
Hatupingi ila kama wataiga ukusanyaji wa kodi waige na matuminzi ya hizo kodi kuwe na child benefit income support siyo kuzipeleka Chato.Tutakuwa happy kulipa hizo kodiMbona tunalilia demokrasia ya Marekani lakini la kodi tunapinga? Kodi hii Marekani ipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Balaa hili, uingereza wanalipa kitu kama 60% kwenye inheritance tax, sisi tunaiga tu bila kuangalia hali za kiuchumi za nchi yetun hutashangaa kuja kuskia wanaintroduce wedding taxUongozi wa juu wa TRA huko katika hatua za mwisho kuanza mchakato wa ukusanyaji maoni juu aina mpya ya kodi itakayoanza kutumika mapema mwakani.
Kodi hiyo mpya itakuwa inawataka wanufaika wote wa urithi kulipa kodi ya asilimia 15, pamoja na hilo TRA pia hiko kwenye mchakato mwingine kama huo ambao hutawaka pia watu wote wanaopokea zawadi zinazozidi thamani ya mil tano(mil 5) pia kulipa kodi ya asilimia 15 ya thamani ya zawadi hiyo.
Bila shaka hili litakuwa pigo linguine kwa vibopa wanaohonga bongo movies magari maana itawabidi kuongeza asilimia 15 ya serikali juu yake.
Nini maoni yako?
Wakikubali kubeba na sisi tutakubali kutoa, kodi lazima ijali usawa safi sana.Ikitokea marehemu alikuwa na madeni. Mtoto amerithishwa madeni, TRA watabeba mzigo wa deni kwa 15%?
Yes lakini katika mazingira yetu kodi hiyo haina maana. Yaani ni sawa na kuwatoza 'mayatima' kodi kwa kile kidogo walicho nachoHii kodi ipo. Na ina maana sana. Kikubwa watoe elimu. Kuna nchi nilisoma mwalimu wangu akanisimulia kuwa kurithi siyo deal sababu kodi yake lazima ukae chini. Ni muda and was not interested hivyo sikumbuki saana maelezo alotoa. Ila ni kama aim ya nchi yao ni usawa. Wazazi kama ni mambo safi na weww kijana tafuta zako. Kitu kama hicho. Especially wana ukali wa mtu kurithi land. Maybe sababu wana upungufu wa ardhi.
1. Huo urithi anayeutoa (marehemu) alikuwa akilipa kodi?! Kama ndiyo.. Kuwatoza wanufaika waurithi huo haitakuwa kutoza kodi vitu vile vile kwa Mara ya pili?!Uongozi wa juu wa TRA huko katika hatua za mwisho kuanza mchakato wa ukusanyaji maoni juu aina mpya ya kodi itakayoanza kutumika mapema mwakani.
Kodi hiyo mpya itakuwa inawataka wanufaika wote wa urithi kulipa kodi ya asilimia 15, pamoja na hilo TRA pia hiko kwenye mchakato mwingine kama huo ambao hutawaka pia watu wote wanaopokea zawadi zinazozidi thamani ya mil tano(mil 5) pia kulipa kodi ya asilimia 15 ya thamani ya zawadi hiyo.
Bila shaka hili litakuwa pigo linguine kwa vibopa wanaohonga bongo movies magari maana itawabidi kuongeza asilimia 15 ya serikali juu yake.
Nini maoni yako?