Tissaphernes
JF-Expert Member
- Mar 27, 2018
- 2,902
- 3,560
Eeeh kila mtu alipe kodi, tuache janja janja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka iishie wapi?Tatizo kodi yenyewe inayolipwa inaishia mikononi mwa watu
Serikali hii aisee hata aibu hawanaBodaboda mmesikia hii? Sasa rasmi mtaanza kulipa Kodi. Hapa Serikali mmechemka na mnawaonea Bodaboda, maana kupata 20,000 kwa siku ni kazi kubwa ila Nchi itajengwa na Watanzania wote.
----
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa katika mabadiliko ya Sheria za kodi mwaka 2023, serikali imeweka kodi ya mapato kwa wasafirishaji wa abiria kwa kutumia pikipiki zenye magurudumu mawili (Bodaboda) ambapo watatakiwa kulipa kiasi cha Sh. 65,000 kwa Mwaka.
Hayo yamesemwa jana na Afisa mkuu wa usimamizi wa kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Hamad Mterry, wakati akiwasilisha mada ya mabadiliko ya sheria mbalimbali za kodi kwa wafanyabiashara wa Mkoa wa Simiyu.
Mterry amesema kuwa hiyo ni moja ya sheria ya kodi ambayo ni mpya na imewagusa Bodaboda, ambapo watatakiwa kuichagia serikali kiasi cha Sh. 65,000 kwa mwaka, kuanzia mwaka huu wa fedha ambao tayari umeanza tangu Julai Mosi, 2023.
Afisa Mawasiliano na elimu kwa umma kutoka (TRA) Mkoa wa Simiyu, Benjamin John amesema kuwa Bodaboda anaweza kulipa kodi hiyo kwa awamu nne ndani ya mwaka, ambapo kila awamu atatakiwa kulipa Sh. 16,250.
Hata hivyo wafanyabiashara za kusafirisha abiria kwa kutumia pikipiki (Bodaboda) wanaona kodi hiyo inakwenda kuongeza ugumu wa maisha kwao, kutokana na kipato chao cha kila siku kuwa kidogo sana.
“ Ukizingatia kwa sasa kupata Sh. 10,000 kwa siku ni ngumu sana, lakini mafuta yamepanda bei, tunalipa LATRA, tunalipa Bima, bado familia inakutegemea, leo tumeletewa TRA, ukweli kodi hii inakwenda kutuumiza sana,” amesema Ntoni Deus.
My Take
Naunga mkono,Pia pombe na Sigara ziongezewe Kodi.
Unahitajj ufanyiwe dua ya maulamaa urudi sawaUlitaka iishie wapi?
Nani alikwambia bodaboda ni masikini?Serikali hii aisee hata aibu hawana
Wanaiba kisha wanawakamua maskini kufidia wizi wao
You're a sweet granny come here in downtown Calgary to me in my studio apartment and lay your beautiful head on my hairy chest and hear the sound of the heart beatsBado najenga jipya la sungura, ma ban ya zamani nnayo mengi sana moja nataka kizalishe mende, natafuta soko kwanza na mbegu inayonunulika.
Ungeuliza kwa nini nimesema hivyo ningefafanua..Nani alikwambia bodaboda ni masikini?
Kama wazalendo wataridhia kwa moyo mkunjufu,🤔Sio mbaya na wao wachangie budget ya Taifa.