TRA: Pikipiki (Bodaboda) kuanza kulipa Kodi ya Tsh. 65,000/- kwa mwaka

Maeneo mengi Noah hazisajiliwi tena kubeba abiria kutokana na katazo la 2015 au 2016 ila zinabeba tu kama magari binafsi na kuikosesha serikali mapato.

Serikali iamie either kuziondoa barabarani au zisajiliwe zilipe kodi kama Hiace vile.
 
Mbona naona kama wanawadharau, japo wangewafanyia 200 kwa siku. ingekuwa ni 73,000 tu.

Kidogo sana hizo.
 
Serikali hii aisee hata aibu hawana

Wanaiba kisha wanawakamua maskini kufidia wizi wao
 
Bado najenga jipya la sungura, ma ban ya zamani nnayo mengi sana moja nataka kizalishe mende, natafuta soko kwanza na mbegu inayonunulika.
You're a sweet granny come here in downtown Calgary to me in my studio apartment and lay your beautiful head on my hairy chest and hear the sound of the heart beats
 
Sasa maafisa usafirishaji walitaka wapewe jina kali bila kutozwa kodi🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…