sued's
Member
- Feb 14, 2013
- 13
- 13
Wakuu nimekuja kwenu, ofisi za TRA Temeke zina fikirisha sanaa katika uwajibikaji wao
Nili-register TRA TIN Number mwaka 2020 branch ya Mbagala sasa nataka nihamishe ile TIN number location isome Ilala hapo ndo kimbembe aisee
Hawa jamaa nimefanya process zotee online barua nimeandika na nilianza ofisi zao kuu za Kanda ya Temeke nilijibiwa na kupangiwa mtu wa kumaliza hii process aisee pale ofisi za Kanda ya Temeke kuna kijana mmoja walio wahi pita pale wanaweza kumfahamu ni ana kaumaarufu kidogo
Yulee jamaa alinizungusha na kunipangia ratiba kila uchao miezi miwili imepita anakuja kuniambia kuwa niende brach ya Mbagala niliyo fungulia
Nikaenda na nilipo enda huko Mbagala nikaandika barua upya na kujaza fomu na kumaliza yote yanayo takiwa daahh ila ni yale yale tu huku sasa kuna mwana dada aisee ni kama yulee kijana wa kule banda la ngozi sasa nakata kwezi wa tatu huu sijafanikiwa mpaka leo kuchange location ya tin number yangu kutoka temeke kwenda ilala.
Nili-register TRA TIN Number mwaka 2020 branch ya Mbagala sasa nataka nihamishe ile TIN number location isome Ilala hapo ndo kimbembe aisee
Hawa jamaa nimefanya process zotee online barua nimeandika na nilianza ofisi zao kuu za Kanda ya Temeke nilijibiwa na kupangiwa mtu wa kumaliza hii process aisee pale ofisi za Kanda ya Temeke kuna kijana mmoja walio wahi pita pale wanaweza kumfahamu ni ana kaumaarufu kidogo
Yulee jamaa alinizungusha na kunipangia ratiba kila uchao miezi miwili imepita anakuja kuniambia kuwa niende brach ya Mbagala niliyo fungulia
Nikaenda na nilipo enda huko Mbagala nikaandika barua upya na kujaza fomu na kumaliza yote yanayo takiwa daahh ila ni yale yale tu huku sasa kuna mwana dada aisee ni kama yulee kijana wa kule banda la ngozi sasa nakata kwezi wa tatu huu sijafanikiwa mpaka leo kuchange location ya tin number yangu kutoka temeke kwenda ilala.