Utalipwa na cash yake sio taasisi ya bima mkuu.Kuwa usimfuatilie mtu kwa kuwa gari hilo halipandi?!!! Na mimi niliyopo njiani akanigonga bima nitalipwa na nani? Na sikuwa ndani ya gari lake? Hoja yako haipo sahihi, ndio maana bima kwenye chombo cha moto sio hiari ni lazima.