TRA tokeni maofisini kakagueni magari, mengi Mjini hayajalipiwa na mengine yana sticker za bima fake

Kuwa usimfuatilie mtu kwa kuwa gari hilo halipandi?!!! Na mimi niliyopo njiani akanigonga bima nitalipwa na nani? Na sikuwa ndani ya gari lake? Hoja yako haipo sahihi, ndio maana bima kwenye chombo cha moto sio hiari ni lazima.
Utalipwa na cash yake sio taasisi ya bima mkuu.
 
Achaga unoko usio na maana wewe, hapo usikute huna gari wala boda wala baiskeli. Unamsaidia Mh Rais kakuomba? zikusanywe hizo hela wakanunue ndege ambazo hazitusaidii kitu? waacheni watu wapunguze makali ya maisha yao unawashwa washwa nini wewe? mijitu mingine bwana.. hizo hela watatumia kulea watoto wao, kuwapeleka shule na kujikimu mambo mengine, serikali inahela achana na mambo yasiyo kuhusu we mshamba.
 
Pole mkuu sheria haipo hivyo!! Je kama yeye amefariki kwenye hiyo ajari?
Ndio basi tena, na wewe unatoa pole kwa wafiwa., haya mabasi tu yana bima lakini yakipata ajali hakuna kitu kinarudi kwa waathirika na maisha yanasonga.
 
Kuwa usimfuatilie mtu kwa kuwa gari hilo halipandi?!!! Na mimi niliyopo njiani akanigonga bima nitalipwa na nani? Na sikuwa ndani ya gari lake? Hoja yako haipo sahihi, ndio maana bima kwenye chombo cha moto sio hiari ni lazima.
Hata hao bima ni wezi tu, mabasi yanapata ajali sijawahi ona wanawalipa abiria, gari umekata bima comprehensive kwa thamani ya milioni 40 ukalipishwa bima ya milioni 3 au mbili kwa mwaka gari hiyo ikianguka hawakulipi milioni arobaini hizo ukipambana unaweza lipwa 10 na hapo umehonga sana polisi wakuchoree mchoro, na mtu wa bima atakae kuja kwa kuchelewa kukagua eneo la ajali , sasa kwa upuuzi huu kwann ukalipe mahela mengi bima? na huku ukijua hata ajali iwe siyo ya uzembe hulipwi hela yote na utapitia figisu.. hela ya kulipa bima kanunue tairi mpya Michelin, bridgestone, fanya service kubwa ya gari yako utapunguza ajali.
 
Taahira wewe, au kwa vile huna gari
 
Road licence ilishafutwa. TRA hawahusiki na bima. Trafiki na TIRA ndio kazi yao labda waonganishe nguvu tu.
Ndiyo hajui huyo mheshimiwa kuwa hiyo imefutwa, maana ukiondoa ushuru/kodi ya kuingiza magari nchini ushuru pekee ulikua ni road licence ambayo imefutwa
 
TULIPE KODI KWA. MAENDELEO YA MTANZANIA.WAJIBU WA. KILA MMOJA

KINACHOTOKEA WANAOKOKOTOA HUSHINDWA KUMSAIDIA MH NA MWISHO WATU KULIPA KODI PUNGUFU YA UHALISIA WA GARI....

HAKUNA ALIEANDIKA. ROAD LICENSE NAONA. MAPOVU YANAWATOKA KAMA MLIHONGA MKALIPA PUNGUFU KAZI KWENU MJIANDAEKUMALIZIA DENI

ZILE BIMA FAKE ZIPO NYINGI SANAA SANA NANAAMINI WAH WA TRAFFIC WATATUSAIDIA KUHAKIKISHA KILA GATI LINA BIMA HALISI ILIOLIPWA NA KODI YA SERKL IKAPATIKANA

VIL VISTICKERS VYENU MJIANDAE KUKATA BIMA HALALII AMA MPAKI MAGARI YENU MPAKA MESSIAH ATAKAPOKUJA
 
sema we mleta mada ndio wale tulivyokua shule

mwalimu akiuliza "nani kaongea kiswahili"

utaona unavyo point wenzako ili tu tuchapwe
 
Kama ni kweli unayajua hayo magari ambayo yamelipiwa ushuru pungufu na yale yenye bima fake chukua no za hizo gari alafu peleka kwa wa usika,hapo ndiyo tutajua kweli wwe unania nzuri ya kumsaidia muheshimiwa kukusanya kodi kuliko kuleta habari kifitinafitina!!
 
Magari yasiyo ya biashara hayana kodi kwa sasa.. only bima inahitajika.
 
Sasa TRA na BIMA wapi na wapi zumbukuku wewe?
 
Ni moyo wa uzalendo,ila itakuwa roho mbaya iwapo mtoa mada hana hata mkweche.
 
Umeongea maneno ya busara sana kamanda, big up!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…