TRA: Ukitoka kuagiza gari kutoka nje (Mfano Japan), lazima uwe na TIN number

TRA: Ukitoka kuagiza gari kutoka nje (Mfano Japan), lazima uwe na TIN number

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Naona utaratibu unazidi kubadirika.

Kuanzia tar 20 Jan, 2025 unavoagiza gari kutoka nje ya Tanzania, lazima utume na TIN number, sio kama zamani ulikua unaitumia wakati wa kutoa gari.
Screenshot_20250122-194943.png

Admin kutoka Mapato TRA Tanzania njoo ufafanue.
 
Hii wameweka ili kujua mfanyabsiahara wa magari na mnunuzi wa gari binafsi, kwa ajiri ya kukamua Kodi. Wakishaona TIN inaingiza sana magari wanajua huyu ni biashara, so wanaenda kumkaba Kodi..
Naona utaratibu unazidi kubadirika.

Kuanzia tar 20 Jan, 2025 unavoagiza gari kutoka nje ya Tanzania, lazima utume na TIN number, sio kama zamani ulikua unaitumia wakati wa kutoa gari.
View attachment 3210407
Admin kutoka Mapato TRA Tanzania njoo ufafanue.
 
Wametoa maelezo mengi pia hata wale ambao walinunua gari Wakiwa Bar, Wanatakiwa kwanza kuwarudia waliowauzia then wapate documents zote ikiwa pamoja na Picha pamoja na barua ya kuomba kubadirisha umiriki wa gari... Nzuri zaid anayetakiwa kufanya hvyo ni Aliyeuza
 
Watanzania sijui magari yaliwakosea nini aisee TRA badala ya kupunguza matatizo ndio mnaongeza matatizo kwa magari yenyewe yanayoagizwa machakavu tu waty wanaagiza magari sawa na umri wao ila hizo kodi mnazoongeza kama amenunua gari mpya sijui huwa mnafikiria nini?ndio maana watu wengi wanakwepa kulipa kodi na mpo busy kuunda Task force zingine zinawaua kwa kukosa maarifa..
 
TRA ni wezi wa hatari sana ,kuna kitu niliagiza nje kidogo sana ,kinauzwa Tsh 1500 ,kilivyokuja Bongo ofisi ya Posta kikakatwa Tsh 3000 yaani kodi ni mara mbili ya bei ya kununulia..
Hawa jamaa ni kiboko Land Cruiser 70 model zipo zinasoma kodi 79m na pick up single cabin za 2014 wanataka zaidi ya 40m wanapata faida kuliko watengenezaji wa hizo gari..
 
Hawa jamaa ni kiboko Land Cruiser 70 model zipo zinasoma kodi 79m na pick up single cabin za 2014 wanataka zaidi ya 40m wanapata faida kuliko watengenezaji wa hizo gari..

Yaani acha wanaorate kodi hapo HQ naona hawana exposure at all ,wamebase kwenye target tu na si uhalisia...Haiwezekani kodi iwe kubwa tena hadi mara mbili ya bei halisi.....wachaji kodi 25% ya CIF.
 
Naona utaratibu unazidi kubadirika.

Kuanzia tar 20 Jan, 2025 unavoagiza gari kutoka nje ya Tanzania, lazima utume na TIN number, sio kama zamani ulikua unaitumia wakati wa kutoa gari.
View attachment 3210407
Admin kutoka Mapato TRA Tanzania njoo ufafanue.
Tanzania ni tatizo kubwa sana, complications za Kodi ni nyingi sana kupita kiasi.
 
Back
Top Bottom