TRA: Ukitoka kuagiza gari kutoka nje (Mfano Japan), lazima uwe na TIN number

TRA: Ukitoka kuagiza gari kutoka nje (Mfano Japan), lazima uwe na TIN number

Naona utaratibu unazidi kubadirika.

Kuanzia tar 20 Jan, 2025 unavoagiza gari kutoka nje ya Tanzania, lazima utume na TIN number, sio kama zamani ulikua unaitumia wakati wa kutoa gari.
View attachment 3210407
Admin kutoka Mapato TRA Tanzania njoo ufafanue.

Hakuna tofauti hapo! Hayo ni maboresho, ila najua ni namna ya kutakq kuwabana wale wenye tin na wenye madeni, clear kwanza ndo agiza!
 
Wametoa maelezo mengi pia hata wale ambao walinunua gari Wakiwa Bar, Wanatakiwa kwanza kuwarudia waliowauzia then wapate documents zote ikiwa pamoja na Picha pamoja na barua ya kuomba kubadirisha umiriki wa gari... Nzuri zaid anayetakiwa kufanya hvyo ni Aliyeuza
Hapo ni kipengele Sana nahisi kutakuwa na document Fulani iliyoandaliwa na mwanasheria
 
Watu watanunua magari used ya kitanzania, magari ya mkononi yatakuwa dili. Na yenyewe inasemekana tra wanayalia timing
Kwani kuna nini kipya hapo? Mwanzo ilikuwa unaagiza halafu TIN unaitumia wakati wa kulipa ushuru, ni kwamba TIN inaanza tu kabla ya kuagiza ila hakuna kipya.
 
Kwani kuna nini kipya hapo? Mwanzo ilikuwa unaagiza halafu TIN unaitumia wakati wa kulipa ushuru, ni kwamba TIN inaanza tu kabla ya kuagiza ila hakuna kipya.
Tatizo lipo DRD nao wanataka kujua muagizaji ni muuzaji au laa na mtu agiza TIN moja magari ya gharama wana kawaida ya kuifunga TIN usiendelee na mchakato wa kulipia na gari ikiwa mikononi mwao wanatengeneza mazingira ya rushwa tu..
 
Tatizo lipo DRD nao wanataka kujua muagizaji ni muuzaji au laa na mtu agiza TIN moja magari ya gharama wana kawaida ya kuifunga TIN usiendelee na mchakato wa kulipia na gari ikiwa mikononi mwao wanatengeneza mazingira ya rushwa tu..
DRD ndio kitu gani Mtaalam?
 
Back
Top Bottom